Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo. Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na...
www.jamiiforums.com
Hapa ulitoa ushauri huku ukijiona una akili halafu ni mjanja sana!
WANAWAKE HUJIFANYA WANA MOOD SWINGS NA KUITUMIA KUTESA NA KUPELEKESHA WANAUME MABWEGE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Usikubali mwanamke akupelekeshe kwa kisingizio cha mood swings. Usikubali! Kuna wanawake Wana tabia ya kupelekesha wanaume wakijifanya ati Wana mood swings. Mood swings...
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mtafaruku ni Mkubwa. Huu mwaka naona unaisha vibaya Mno. Kama sitakuwa macho nyumba yangu inaweza kuvunjika. Sorry nianze kwa Salamu maana Leo mtanifaa Sana kwa ushauri Bora. Assalam alyekum kwa Waislam, Tumsifu Yesu Kristo kwa Waislam. Wapagani, salama...
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
1. Leo ni anguko la Mbowe na siku ya aibu kwake kwa sababu ifuatayo.;
2. Kuna kushindwa kwa kushinda.
Ataongoza cdm iliyoparalaizi
3. Lisu leo ameshinda kwa kushindwa.
Hii ni kwasababu Lissu anatakiwa zaidi na wapenda haki na mabadiliko ya kweli...pamoja na atashindwa kwa ghilba lkn yeye ndiye mshindi wa mioyo ya wanyoofu
Mkuu labda Mungu aingilie kati tu!
Mbowe ana nguvu ya Fedha kuliko Lissu!
Na kwa Watanzania wengi walivyo na njaa hawawezi kuipona rushwa!
Vilevile CCM wako nyuma ya Mbowe!
Sijui labda!
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Miradi ya watu hiyo hawapo tayari kupoteza maslahi yao. Haki lissu akajiunge tu hata na kabwa wakimkata maana dalili mbaya zimeonekana mapema. Mtu mroho tuta muaminije
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.