Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu ni mwanaharakati Hata yeye anasema hivyo , kuongoza kwa maana ya mtoa maamuzi ( decision maker ) hawezi , zaidi zaidi ni mtendaji .
 
Usishangae, ni mtu ambaye japo sina affiliation na chama chochote cha siasa nilikuwa namkubali sana lakini 'kukosa kifua' kama mwanaume anavyopaswa kumesababisha nianze kuwa na wasiwasi nae upande wa leadership capabilities/capacities. Ni bingwa sana linapokuja suala la sheria na mambo yote yanayohusu mikataba lakini busara za kiuongozi na uwezo wa kuifanya institution kubwa kama CHADEMA kuwa kitu kimoja sioni kama uwezo huo licha ya kwamba kiukweli chama chao kinahitaji mtu mwenye charisma kama yake kwa sasa, a populist and vibrant kind of a person. A pushy motherfvcker yeah kwani huu mfumo unaotawala bila ya kutikiswa hakuna kitakachobadilika.
 
Huyu Mbowe anatuona wajinga sana, kila siku mbinu zake ni hizo hizo tu. Sasa tumetambua rasmi kwamba anafanya kazi chafu ya CCM, muda si mrefu atabakia na chawa wake kwenye SACCOS yao na kuungana na VIBARAKA wenzake akina Lipumba, Cheyo n.k
Na nyie wapayukaji mtaenda wapi? Si Bora abakie peke yake kwani mna Msaada gani Sasa kwake? Yeye ni tajiri na yeye ndio kaifikisha hapo Chadema
 
Ongea maneno yote unayoweza kusema, but remember..God knows the beginning and end of this great nation, usitumie nguvu nyingi za ushawishi km vile wewe ndie mwenye uchungu sana na nchi hii kuliko hata aliyeiumba..elewa mipaka yako! Mungu akishasema hata ulale na shetani hutabadilisha kitu!

Sipo kubadilisha chochote
 
Usishangae, ni mtu ambaye japo sina affiliation na chama chochote cha siasa nilikuwa namkubali sana lakini 'kukosa kifua' kama mwanaume anavyopaswa kumesababisha nianze kuwa na wasiwasi nae upande wa leadership capabilities/capacities. Ni bingwa sana linapokuja suala la sheria na mambo yote yanayohusu mikataba lakini busara za kiuongozi na uwezo wa kuifanya institution kubwa kama CHADEMA kuwa kitu kimoja sioni kama uwezo huo licha ya kwamba kiukweli chama chao kinahitaji mtu mwenye charisma kama yake kwa sasa, a populist and vibrant kind of a person. A pushy motherfvcker yeah kwani huu mfumo unaotawala bila ya kutikiswa hakuna kitakachobadilika.

Kifua cha kuficha maovu
 
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike
Kila uchaguzi tumeibiwa kura zetu!;
As Mwenyekiti na ww umeshindwa kuiba?
Au kubuni New Option!
Kuna kipindi CCM walikuwa wanapiga debe aachie Uenyekiti!; Lakini Kwa Sasa baada ya kumuona ni chui wa karatasi, wanapiga debe aendelee na Uenyekiti😇🙄
 
Kila uchaguzi tumeiba uchaguzi!
As Mwenyekiti na ww umeshindwa kuiba?
Au kubuni New Option!
Kuna kipindi CCM walikuwa wanapiga debe aachie Uenyekiti!; Lakini Kwa Sasa baada ya kumuona ni chui wa karatasi, wanapiga debe aendelee na Uenyekiti😇🙄

🤓🤓🤓
 
Yatatokea hayo ikiwa tu DEMOKRASIA itatendeka kweli, nje na hapo kuna samaki wengi Sana mwenyechair alishajiopolea anasubiri kuwanywa supu tu
 
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike
Ndoto za mchana!
 
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike
We mgeni na siasa za bongo. Anaanzia wapi kushinda?
 
Back
Top Bottom