Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema baadhi ya mambo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani
1. Amefanikiwa kubadili upepo wa kisiasa.
2. Anazungumza na wapinzani.
3. Anazungumza na sisi chadema kuhusiana na masuala yote yanayoitatiza nchi yetu.
4. Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
5. Amefuta kesi nyingi zikiwemo za kwangu mimi.
Huu ni uthibitisho kuwa Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika mpango wake wa kujenga Tanzania mpya.
1. Amefanikiwa kubadili upepo wa kisiasa.
2. Anazungumza na wapinzani.
3. Anazungumza na sisi chadema kuhusiana na masuala yote yanayoitatiza nchi yetu.
4. Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
5. Amefuta kesi nyingi zikiwemo za kwangu mimi.
Huu ni uthibitisho kuwa Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika mpango wake wa kujenga Tanzania mpya.