Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Hakuna myanzania hata mmoja aliye na cheti fake zile zilikiwa fix za jpm kupunguza wafanyakazi tu baada ya kuona serikali Haina hela
Haina hela wakati ananunua ndege,madaraja yanajengwa,barabara zinajengwa jwa lami mpka mitaani kwetu Tandale,Ubungo exchange imejengwa imeisha....chief ww macho yako yamefunikwa na kitu Gani?