Lissu anasema Rais Samia amebadilisha upepo wa kisiasa

Lissu anasema Rais Samia amebadilisha upepo wa kisiasa

Hongera Samia. Uongozi ni akili, busara na karama. Wala siyo maguvu na matusi kama Magufuli alivyokuwa anaharibu nchi
Nchi aliiharibu Kikwete na ndio maana wakajikuta wanampa nchi Magufuli ambaye hakuwa na nguvu yeyote kwenye chama kuweza kupata nafasi ile. Ilifika muda hii nchi wakati wa Kikwete watu walitamani Rais Dikteta kwa jinsi nchi ilivyoharibiwa na kuwa shamba la bibi.
 
 
Hakuna namna rais Samia angeweza kuacha kubadilosha upepo wa kisiasa kwa kuamua kufanya maridhiano, kuunda katiba mpya na kuunda tume huru ya uchaguzi.

Hii ni kwasabb dikteta amewatesa sana Watanzqnia na hata wanasisiemu wenzake kwa kutumia katiba hii mbovu. Wanaccm pia hawataki ujirudie Udikteta wa dikteata Mungu wa sukuma gang
Basi Magufuli kafanya vizuri kama asingewatesa na ccm basi hayo yasingefikiriwa kufanyika.
 
Watu
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema baadhi ya mambo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani

1. Amefanikiwa kubadili upepo wa kisiasa.
2. Anazungumza na wapinzani.
3. Anazungumza na sisi chadema kuhusiana na masuala yote yanayoitatiza nchi yetu.
4. Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
5. Amefuta kesi nyingi zikiwemo za kwangu mimi.

Huu ni uthibitisho kuwa Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika mpango wake wa kujenga Tanzania mpya.

View attachment 2512583
Watu wanalia Hali gumu nyie munasema ametengeneza Tanzania ili uamini hakuna alicho kifanya subili 2025 hapo ndo utaamin kwann napinga Hilo amenufaisha San watu wenye maendeleo na kuwanyonga watu wenye kipato cha chin kwako wewe utaona katengeneza Tanzania watu weng wataona Kaharibu Tanzania
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema baadhi ya mambo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani

1. Amefanikiwa kubadili upepo wa kisiasa.
2. Anazungumza na wapinzani.
3. Anazungumza na sisi chadema kuhusiana na masuala yote yanayoitatiza nchi yetu.
4. Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
5. Amefuta kesi nyingi zikiwemo za kwangu mimi.

Huu ni uthibitisho kuwa Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika mpango wake wa kujenga Tanzania mpya.

View attachment 2512583
Yuko sahihi kabisa
 
Tunachotaka wanainchi ni unafuu wa maisha kwa kila mwanaichi na sio unafuu kwa wanasiasa kwa maslahi yao.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Wananchi jipiganieni mpate huo unafuu, wanasiasa wamejipigania ndio wakapata huo unafuu. Wananchi mmekaa hamfanyi jitihada yoyote mnasubiri mpiganiwe!
 
Wananchi jipiganieni mpate huo unafuu, wanasiasa wamejipigania ndio wakapata huo unafuu. Wananchi mmekaa hamfanyi jitihada yoyote mnasubiri mpiganiwe!
Kwahiyo sasa wapinzani hawapigani wananchi tena bali hujali masilahi yao ya kisiasa?
 
Ni kweli. Na watanzania ni watu wa kuridhika sana. Hakika wameridhika na uongozi wa mama. Kidogo yale mambo ya tozo yalitaka kumwangusha. Sijui jamaa alifanya makusudi ili kumharibia mama?. Na akachochea ghadhabu za watu kwa kuwaambia kuwa asiyetaka tozo ahamie Burundi. Ila mama Samia anastahili pongezi. Anaponya vidonda vya wahanga, ingawa makovu yataendelea kuonekana.
 
Ni kweli. Na watanzania ni watu wa kuridhika sana. Hakika wameridhika na uongozi wa mama. Kidogo yale mambo ya tozo yalitaka kumwangusha. Sijui jamaa alifanya makusudi ili kumharibia mama?. Na akachochea ghadhabu za watu kwa kuwaambia kuwa asiyetaka tozo ahamie Burundi. Ila mama Samia anastahili pongezi. Anaponya vidonda vya wahanga, ingawa makovu yataendelea kuonekana.
Samia hawezi kuwakanya hao mawaziri wake wenye kujibu majibu ya dharau kwa wananchi?
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema baadhi ya mambo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani

1. Amefanikiwa kubadili upepo wa kisiasa.
2. Anazungumza na wapinzani.
3. Anazungumza na sisi chadema kuhusiana na masuala yote yanayoitatiza nchi yetu.
4. Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
5. Amefuta kesi nyingi zikiwemo za kwangu mimi.

Huu ni uthibitisho kuwa Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika mpango wake wa kujenga Tanzania mpya.

View attachment 2512583
Lissu na mbowe kwisha habari yao, wamefikia bei sasa rasmi wameungana na wenzao kina Juakali, Kafulila na wengine, mbowe ilibidi atimkie Ikulu ili atoke jela, Tanzania upinzani bado sana ili kuingoa ccm madarakani.

Tundu lissu na mbowe wakimsema maalim seif sana anatumika na ccm lakini na wao hatimae wamesarenda., 2025 ni maigizo tu biashara ishafanyika., long live the King
 
Ww ulikuwa na vyeti fake kama sio nyumba ndogo ya Mzee Makamba.
Hakuna myanzania hata mmoja aliye na cheti fake zile zilikiwa fix za jpm kupunguza wafanyakazi tu baada ya kuona serikali Haina hela
 
Back
Top Bottom