Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Hakuna myanzania hata mmoja aliye na cheti fake zile zilikiwa fix za jpm kupunguza wafanyakazi tu baada ya kuona serikali Haina hela
Chadema wanaamini wao ndio chama pekee cha upinzani Tanzania, wakifanya wenzao kosa ila wakifanya wao si tatizo.Lissu na mbowe kwisha habari yao, wamefikia bei sasa rasmi wameungana na wenzao kina Juakali, Kafulila na wengine, mbowe ilibidi atimkie Ikulu ili atoke jela, Tanzania upinzani bado sana ili kuingoa ccm madarakani.
Tundu lissu na mbowe wakimsema maalim seif sana anatumika na ccm lakini na wao hatimae wamesarenda., 2025 ni maigizo tu biashara ishafanyika., long live the King
Alikuwa anavamia account binafsi za watu bank ndo analipa. Yule alikuwa mwizi sana. Ndoana Samia anawarudishia pesa zao waliodhulumiwa enzi hizo. Nimtodi mkono kachukuliea pesa zote kwenye accounts m alimbali na amepalalise mwili mzima yupo pale nyumbani kwake masaki hatoki ndani kabisa jpm kaua wengi kwa mastress tu.Haina hela wakati ananunua ndege,madaraja yanajengwa,barabara zinajengwa jwa lami mpka mitaani kwetu Tandale,Ubungo exchange imejengwa imeisha....chief ww macho yako yamefunikwa na kitu Gani?
Kwa taarifa yako kuwa na cheti feki hakunizuii kutoa mawazo yangu ingawa Mimi siyo cheti feki.Ww ulikuwa na vyeti fake kama sio nyumba ndogo ya Mzee Makamba.
Ameongea ukweli na sio kumsifiaWaendelee hivyo hivyo kumsifia huku wakila asali. Siku wakianza kuongea hoja ndio itakuwa mwisho wa urafiki na huyo mama.
Huyu hawezi kuwa Rais hata kwa dawa may be agombee ubunge tupo na Rais Samia Suluhu mpaka 2030Halafu yeye Tundu Lissu akiingia atakuja badilisha upepo huo.
Atatufanya tukubali Tamaduni na maadili za "Waliotudhalimu" kwa karne....'Wazungu'
Tujiandae na Udikteta uchwara wa Lidikteta Tundu Lissu.
MIKAKATI KUPUNGUZA BEI YA CHAKULATunachotaka wanainchi ni unafuu wa maisha kwa kila mwanaichi na sio unafuu kwa wanasiasa kwa maslahi yao.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Avatar yako inaonyesha tu kichwani na rohoni ulivyo..Kwa taarifa yako kuwa na cheti feki hakunizuii kutoa mawazo yangu ingawa Mimi siyo cheti feki.
Pili hata Magufuli PhD yake ni feki!!
Wewe alivamia acount yako akachukua hela yako,hacheni kutumika vibaya na mafisadi kijana matokeo utayaona wewe ila vizazi vyako ndo vitaumia kwa ujinga wako.Alikuwa anavamia account binafsi za watu bank ndo analipa. Yule alikuwa mwizi sana. Ndoana Samia anawarudishia pesa zao waliodhulumiwa enzi hizo. Nimtodi mkono kachukuliea pesa zote kwenye accounts m alimbali na amepalalise mwili mzima yupo pale nyumbani kwake masaki hatoki ndani kabisa jpm kaua wengi kwa mastress tu.
Nenda china utaziona alikokuwa anazificha.Wewe alivamia acount yako akachukua hela yako,hacheni kutumika vibaya na mafisadi kijana matokeo utayaona wewe ila vizazi vyako ndo vitaumia kwa ujinga wako.
Ata kama alikuwa anachukua hela za watu na kuzifanyia kazi ila mm nna uhakika ni zile za watu waliokua wanakwapua fedha na kuuza mali za umma,Mama samia anafanya hivyo kwa msukumo wa Gang la wanaolamba Asali.
Kama ww ni mwanasiasa fanyeni siasa za mantiki na faida huku mkifundisha mshikamano na kuheshimiana.....ila huu ujinga mbaleta wa kuchonganisha mnataka kutuletea mauji ya kimbalei na sisi hatuka tayari.Nenda china utaziona alikokuwa anazificha.
Rais ndo kasema kwamba jpm ameficha Pesa china siyo kauli yanguKama ww ni mwanasiasa fanyeni siasa za mantiki na faida huku mkifundisha mshikamano na kuheshimiana.....ila huu ujinga mbaleta wa kuchonganisha mnataka kutuletea mauji ya kimbalei na sisi hatuka tayari.