Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa yericko Nyerere nasikia alijificha maporini kigamboni, mbowe alikimbia nchi kimyakimya...Binafsi mtu anayempuuza lissu simwelewi kabisaUzuri huyo jamaa haitaji hata kuvimbishwa, ni mwanaume pekee aliesimama na kumvimbia shujaa wa kizamani.
Kipindi hicho nchi nzima wanaume na wanawake tukiwa uvunguni kama panya......
TL 💐
Haahaa mbowe salama yake lissu ashinde, nje ya hapo atabaki peke yake na chama.watu wamechoka huku mtaaniLissu kashayatimba, akipata kura 5 wote hao watamkimbia atabakia peke yake kwenda TLP.
Halafu mbona nyuzi za kumuunga mkono Mbowe hazionekani humu, au ndio inakuwaje? Kwani Mbowe hawezi kujifanyia assessment kupitia maoni ya watu mtandaoni. Sioni nyuzi za kimsapoti Mbowe kabisaYule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior.
Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone.
Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye keybord tu.
..Hayo yote yamesababishwa na mbowe, binafsi natamani Sana kujua hayo mamilioni anayomwaga mbowe yanatoks wapi?Kukodi ukumbi kwa masaa ya mkutano wa CDM gharama yake inawezavuka ata tsh 15 million kwa siku.
Mikutano ya CDM inaanza tarehe 9 January, non-stop mpaka tarehe 23.
Bado gharama zingine za uchaguzi na operation expenses za chama zipo pale pale.
Saidia basi na wewe kidogo kufanya huo uchaguzi, anajibu ujinga tu. Anadhani raisi.
Lissu akishinda anaenda ivuruga CDM hana analoweza zaidi ya kuropoka tu.
..kumpigia kampeni mbowe yatakaa moyo, Hana sera, pia mtaani wakisikia kakaa miaka 21+ hawataki hata kusikiaHalafu mbona nyuzi za kumuunga mkono Mbowe hazionekani humu, au ndio inakuwaje? Kwani Mbowe hawezi kujifanyia assessment kupitia maoni ya watu mtandaoni. Sioni nyuzi za kimsapoti Mbowe kabisa
Worrior ndo nani? 🤣🤣🤣🤣🤣Yule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior.
Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone.
Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye keybord tu.
Hahaha! Kukuta siasa za Tanzani ni bendera fuata upepo, yaani WANACHADEMA hawataki kumsikia Mbowe. Du! Hatari sana. Mbona Biden alipima upepo akaona hauziki akisepa! Kwa nini Mbowe hataki kuijtathmini!..kumpigia kampeni mbowe yatakaa moyo, Hana sera, pia mtaani wakisikia kakaa miaka 21+ hawataki hata kusikia
Sheria gani wakati watu wanapokea tu pesa za Abdul kimya kimya na kuweka kwenye account zao ili wakishike chama mateka , Chama hakiwezi kujiendesha mpaka pesa itoke mfukoni kwa Mbowe, wacha Lissu akaondoe haya mambo ya hovyo kwenye chamaOh. Ripoti ya CAG kumbe ilionyesha fedha za chama zinakaa kwa akaunti ya Mbowe. That's serious now...
Sasa hivi hakuna Sheria ambazo anazisimamia msajili wa vyama kuwa fedha za chama zikae kwa akaunti ya chama si akaunti ya Mwenyekiti. Hili suala mlishawahi kulifikisha kwa msajili?
Safari hii Mbowe wanamkabia kwa juu mno ili asivuke mstari wa katikati na kuleta madhara langoni kwa LisuYule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior.
Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone.
Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye keybord tu.
Teh teh teh 😃 😃 😃 noma sana hiiMbowe usisubiri kura, futa uchaguzi...kuwa kama Jecha!
muulize ma a yako kama mimi mjingaUjinga ni mzigo
Sio tu kasema ni mjinga , ubongo uko matakoni, hide your ignorance bitch.muulize ma a yako kama mimi mjinga
Useless and inapplicable mind.Na kweli amevimba kichwa! If I were Mbowe, I would have dismissed him as of today!
Hujui duniaYule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior.
Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone.
Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye keybord tu.
Ataenda MIGALissu kashayatimba, akipata kura 5 wote hao watamkimbia atabakia peke yake kwenda TLP.
Kwani wewe ni mpiga kura? Ajabu wanaoongea sio wajumbe. Wajumbe ndio wenye maamuzi ya mwisho kwenye uchaguzi.Ningekuwa Mbowe ningejinyonga kukwepa aibu
Kwa mnavyotumia Makundi sogozi na mitandao ya kijamii kumsifu Samia huwa mnalenga nini? Hao wanao comment mitandaoni huwa wadhani wanaishi kwenye mitandao kama buibui?Yule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior.
Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone.
Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye keybord tu.