Lissu Antipas Tundu aweza kuwa kiongozi mzuri kumpita Rais Samia?

Lissu Antipas Tundu aweza kuwa kiongozi mzuri kumpita Rais Samia?

Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Wewe ni mpumbavu sana
 
Kwani huyo mama yenu mnafikiri atafanya biashara kwa kujitanguliza mbele mumuone kirahisi?

Angalia hapo mtoto wa mama yeukatangulizwa kweye msafara Uganda kwenye masuala ya nishati.

Halafu jiongeze sekta gani a wizara gani iaongoza kwa dili na ujanja ujanja na haileti tija zozote.
View attachment 2745795
Ungemuuliza pia kama anajua kuhusu GBP
 
Presidential material anatakiwa kuwaje??
Ni kuachana nao tu hao. Tangu wamejua kutumia neno 'presidential materials' imekuwa nongwa.
Sijui ni nani aliwafundisha na kuwadanganya maana ya presidential material?
Yaani Presidential Material achaguliwe na mwananchi asiyejua hata maana ya presidential, let alone material.
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
pumbavu, kumbe unafanya propaganda
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Huyo dikteta Kwa Asili.Uliwahi ona wapi mtu muck know anaejifanya anajua Kila kitu akawa Rais Bora kushinda wote? Jiwe alikuaje? Nyerere Je? Hao ndio sampuli yake.
 
Mwanaharakati ndio lakini eti Rais aah wapi hamna kichwa hapo kinachoweza kuhimili mikimiki ya urais.? Sana sana ni umimi na ujuaji uliopitiliza wakati Urais ni team work ya Kitaasisi.
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Ni mawazo yakobya kichawa
 
Usisahau kuwa Lisu ni Mwanasheria wakati Samia ni mbumbu wa Sheria ndiyo maana hawezi tofautisha Kati ya mkataba na majadiliano ua makibaliano
Sawa, lkn tutumie lugha zenye staha - watanzania ni timu moja na vyama vitaendelea kutuunganisha
 
Sawa, lkn tutumie lugha zenye staha - watanzania ni timu moja na vyama vitaendelea kutuunganisha
Hapo umeleweka lakini mkija na lugha za sijui ushoga, udini itabidi turudishane kwenye mstari nchi hatujaathirika na ushogha wa udini tumeathirika na maendeleo ya Watu wetu
 
Sawa, lkn tutumie lugha zenye staha - watanzania ni timu moja na vyama vitaendelea kutuunganisha
Hivi huko Kakonko mlishawekewa lami au bado mnakula vumbi tu?

Nafikiri lami ni muhimu kuliko staha unayoomba ,Samia kama anataka staha asitegeemee huku mtandaoni maana wapo wakubwa zaidi yake kwahiyo staha ataipata nyumbani kwake akiwa na mumewe, wanae na wajukuu.

Huku tunaongelea habari zake za ofisini kama anavyopwaya lazima aambiwe hili sio suala la kifamilia na yeye sio mama aiwa ofisini ni huo nyumbani kwake .
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Lissu awe Rais?
 
Ungemuuliza pia kama anajua kuhusu GBP
Huyu alisema eti atagombea urais kipindi fulani ila naona n majanga mengie watanzania wataenda kupata kwa akili kama hizi nchi itazidi kutitia.

Ngoja nione ule uzi wake kama bado upo.
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
With due respect!
Kama hii ndio analysis yako...mkuu utakuwa una uwezo mdogo sana...naomba unisamehe bure kabisa.
 
# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;


Ngaika Ndenda
Kigoma.

..lakini Zanzibar si nchi ya kishoga? Na Ssh si amezaliwa, na kulelewa huko? Je, akiendelea kuongoza Watanganyika tutakuwa salama?
 
Anaweza kuzidi woooote baada ya Mwalimu
Wote walikuwa wafanyabiashara Ikulu
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Hakuna mtu yoyote ccm ,anaweza kuwa kiongonzi mzuri kuliko lissu ,utawala wake utakua wa kufuata sheria , mfano ata ingekua mimi ,wewe ukamue mtu mwingine kisa ndugu yangu kama rais na umekutwa na atia kupitia mhumiri wa maakama , ukaukumiwa kunyongwa why usinyongwe?

Unable pesa za uma, unakura rushwa kwa nini usifungwe kama umepatikana na hatia , eti kisa hu mtoto wa rais
 
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;

# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;

# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;

# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;

Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.

Ngaika Ndenda
Kigoma.
Una imri gani Msakila?
 
Back
Top Bottom