Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wewe ni mpumbavu sanaNapata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;
# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;
# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;
# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;
Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.
Ngaika Ndenda
Kigoma.