Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
- Thread starter
-
- #41
Mimi namwona Lissu ktk nafasi ya udikiteta - watu wanaweza kukoma kweli kweliHakuna mtu yoyote ccm ,anaweza kuwa kiongonzi mzuri kuliko lissu ,utawala wake utakua wa kufuata sheria , mfano ata ingekua mimi ,wewe ukamue mtu mwingine kisa ndugu yangu kama rais na umekutwa na atia kupitia mhumiri wa maakama , ukaukumiwa kunyongwa why usinyongwe?
Unable pesa za uma, unakura rushwa kwa nini usifungwe kama umepatikana na hatia , eti kisa hu mtoto wa rais
Kwenye sensa waliniambia ni 48yrs; ulitaka mnipe urais wa nchi hii?Una imri gani Msakila?
Hafai hata urais wa kitongoji hiyo tundu wako anabwabwaja, anakurupuka na kuropoka tu badala ya kutoa ushauriNapata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;
# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;
# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;
# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;
Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.
Ngaika Ndenda
Kigoma.
Kipi kilichofanikishwa na tundu lakoViwango vya Lissu huwezi kulinganisha na Samia, Lissu yupo juu mno kiweledi na kiutendaji.
Labda. Awe rais wakoBaada ya Samia LISSU atakuwa rais wetu.Ni MTU makini na mzalendo wa kweli.
Itakuwa ni janga zaidi ya coronaKwenye sensa waliniambia ni 48yrs; ulitaka mnipe urais wa nchi hii?
Usitumie makalio kufikiriNapata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;
# Lissu kaishi muda mrefu ktk nchi inayoruhusu ndoa za jinsia moja wkt Rais Samia ni uzao wa Zanzibar;
# Lissu ni mfanyabiashara kupitia KAMPUNI ya uwakili wkt Rais Samia hana ufungamano wa kibiashara na KAMPUNI yoyote;
# Lissu anaamini ktk siasa za jino kwa jino wakati Rais Samia anaamini ktk maridhiano;
Kwa ujumla Lissu akiwa Rais uongozi wake utakuwa sawa na Adolf Hitler au Idd Amin. Watanzania tunapofanya uchaguzi tuepuke mihemuko ya kisiasa tusije jutia hapo mbeleni.
Ngaika Ndenda
Kigoma.
Kama ni fisadi uwezi kumpenda lissu, bahati mbaya anangoja kulakiapo soon tafuta pakwenda.Hafai hata urais wa kitongoji hiyo tundu wako anabwabwaja, anakurupuka na kuropoka tu badala ya kutoa ushauri