ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Labda hicho chama kiwe na wapumbavu watupu .Kweli sema figisu za usajili lakini naamini siku ya kwanza tu akitangaza kuanzisha ndio itakuwa mwisho wa upinzani uchwara
Hana hicho kipaji Bali yeye anachoweza ni kuropoka,kufitini, kutanga tanga na kupinga Kila kitu.Lissu hajawah anzisha kitu chochote cha maana toka azaliwe....
Labda familia
Naona wako huko Twitter wanamjaza upepo 🤣🤣Atoke ndo atajua kuna watu nyuma yake ama wajumbe wa CCM 2020
Ana hela?Lissu ni mkubwa kuzidi chadema ngoja atoke ndio utajua
Kaanzisheni mbona mnajizungusha? Mushapewa go ahead hukoNdio ataanza sasa uone.
Kila kitu huwa na mwanzo.
Chawa unaleta Dua la kuku kwenye siasa? 😂😂Kama ipo ipo tu tusiingie kwenye mawazo kama ya misisiyemu ambayo tumeilalamikia muda mrefu kwamba inaengua wapinzani wao ili wapite bila kupingwa tunampenda sana mh Lissu lakini litakuwa kosa kubwa kuzuia wengine wasigombee mwacheni huyo Mbowe agombee ila muhimu kuwe na uchaguzi huru na wa haki na wajumbe wa mkutano mkuu wafanye tafakuri ya kina hasa katika kuhakikisha wanamchagua mwenyekiti ambaye atatutoa tulipo na kutupeleka mbele zaidi.Wajumbe kuweni waadilifu na msikubali kurubuniwa na mgombea yeyote hiyo tarehe 20 Januari mtangulizeni Mungu mbele . Sanduku la kura liamue inshala mwamba Lissu atashinda
KamuulizeAna hela?
Lisu ni maalim Seif wa bara akitoka chadema imekishwa hata alivyotoka CUF imekwishaLissu mwenyewe anajua akitoka nje ya chadema ndio amekufa kisiasa ndio maana hakufanya hivyo .
Siasa ni team work Tena ya watu makini na wenye ela .
Siasa za sashivi sio za Miaka ya 60 ambazo michango ya wanachama tu inatosha tu.
Tapeli kakutapeli nini? Tuache umalaya wa kujitia ujuajiKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
We ni Mke wa mboweTapeli kakutapeli nini? Tuache umalaya wa kujitia ujuaji
We ni Mke wa mboweZaa ewe mjamzito
Amwulize DK.SLAA Kwa Sasa anakula mihogo nyumbani..Tasisi Sio kitu kidogoUmaarufu unatokana na taasisi,
ukitoka kwenye taasisi nguvu na support inapungua
Kwa wanaonifahamu, watashangaa huu upumbavu ulioandika. Angalia umri Wangu wa JF kabla ya kujibu. Next time sitakufundisha hivi bali kwa vitendoWe ni Mke wa mbowe
Jibu swali umri wako Baki nao mwenyewe Mimi haunihusuKwa wanaonifahamu, watashangaa huu upumbavu ulioandika. Angalia umri Wangu wa JF kabla ya kujibu. Next time sitakufundisha hivi bali kwa vitendo
Lisu Hana kipaji cha maamuzi na hekima maalimu alikuwa nacho .Lisu ni maalim Seif wa bara akitoka chadema imekishwa hata alivyotoka CUF imekwisha
Mifano halisi ni Slaa na Zitto.Umaarufu unatokana na taasisi,
ukitoka kwenye taasisi nguvu na support inapungua