Uchaguzi 2020 Lissu Arusha Kesho: Uzinduzi CHADEMA Kanda ya Kaskazini Viwanja vya NMC Relini

Uchaguzi 2020 Lissu Arusha Kesho: Uzinduzi CHADEMA Kanda ya Kaskazini Viwanja vya NMC Relini

Angalia Dodoma achana na saccos.
Posho zetu mtulipe naona mmeanza kutuzungusha polepole hapokei simu
IMG_20200829_131953.jpg
 
Angalia Dodoma achana na saccos.
Dom kuna nini kipya mkuu, idadi ya ndege zilizopo na zikazonunuliwa, madaraja, barabara, na kadhalika, vyote tunajua kwa details, tumeimbiwa huo wimbo tangu 2016! Labda kama Diamond ana vibao vipya atazindua hapo, tuingia TBC!
 
..TL yuko wapi leo?
Kagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama

Lisu kasingizia hajisikii vizuri
 
Kagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama

Lisu kasingizia hajisikii vizuri

..acha propaganda, Halima anamuunga mkono TL.
 
Kwa nilizozipata mpaka sasa wana jf wenzangu nimeshusha kura. Lisu akifikisha kura 1.5M nipigwe ban.




MAGUFULI4LIFE
 
Kagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama

Lisu kasingizia hajisikii vizuri
jamaa unapata tabu sana njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom