Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Posho zetu mtulipe naona mmeanza kutuzungusha polepole hapokei simuAngalia Dodoma achana na saccos.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho zetu mtulipe naona mmeanza kutuzungusha polepole hapokei simuAngalia Dodoma achana na saccos.
😀😀😀😀😀😀😀😀si amalizie kwanza majimbo ya dar, mbona ana kihere here hivyo
Mama ko ndo sakosiAngalia Dodoma achana na saccos.
Tapeli Godbles Lema anatumia jina la Lisu kuvutia watu kuhudhuria mkutanoKesho ni segerea mkuu , au ratiba imebadirika?
Dom kuna nini kipya mkuu, idadi ya ndege zilizopo na zikazonunuliwa, madaraja, barabara, na kadhalika, vyote tunajua kwa details, tumeimbiwa huo wimbo tangu 2016! Labda kama Diamond ana vibao vipya atazindua hapo, tuingia TBC!Angalia Dodoma achana na saccos.
unalia nini wewe vyombo vya angani CHOPATapeli Godblesd Lema anatumia jina la Lisu kuvutia watu kuhudhuria mkutano
Lisu hatakuwepo mwongo
Lisu atakuwa Segerea
unalia nini wewe vyombo vya angani CHOPA
Mliambiwa leo muanze maandamano, vipi tupe updates huko uliko mkuu jua vipi? maana sio kwa hasira hizo.Mama ko ndo sakosi
Hawa vipi mkuu?Posho zetu mtulipe naona mmeanza kutuzungusha polepole hapokei simuView attachment 1551960
Kagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama..TL yuko wapi leo?
Kagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama
Lisu kasingizia hajisikii vizuri
Kumebuma hasa Sio utaniLeo vipi Kawe kumebuma!!
Hakuna..acha propaganda, Halima anamuunga mkono TL.
KAWE MKUU ....TL yuko wapi leo?
Niliwaambia jana tunawasubiri Kawe tuwaonyeshe! Tumewaonyesha kweli kweli wako hoi bin tabini....Kumebuma hasa Sio utani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuangalia gemu ya Simba na Namungo
KAWE MKUU ..
jamaa unapata tabu sana njaa mbaya sanaKagoma kwenda kuhutubia Kawe kwa aibu sababu hamna watu lakini.kubwa ana Bifu na Halima Mdee alikataa wazi Lisu asiwe mgombea uraisi Chadema wakati wa mchakato ndani ya chama
Lisu kasingizia hajisikii vizuri