YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Wanafivha aibu uwanjani hamna watu unataka warushe hewani uwanja mtupu?..mbona hakuna habari zozote za kinachoendelea?
..kwa kweli cdm media ni kituko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafivha aibu uwanjani hamna watu unataka warushe hewani uwanja mtupu?..mbona hakuna habari zozote za kinachoendelea?
..kwa kweli cdm media ni kituko.
Wanafivha aibu uwanjani hamna watu unataka warushe hewani uwanja mtupu?
Huyohuyo jamaa yenu anaye nadi jeraha lake na kulifanya kuwa ndo kero ya watanzania?Karibu nyumbani Mh.Rais Arusha tupo tayari na ushindi ni wako umepita babaa.
Wewe siyo msemaji wetu watanzania. Tuache tuchague kiongozi tunaemtakaHuyohuyo jamaa yenu anaye nadi jeraha lake na kulifanya kuwa ndo kero ya watanzania?
Watanzania sio mazwazwa
Mmekimbia Dar kwa nini? Siku tatu zimeisha?Wana Arusha kuanzia Babati Karatu Monduli Namanga Mto wa Mbu, Usa River Ngaramtoni Mnakaribishwa kesho kwenye viwanja vya NMC RELINI kuanzia saa nne asubuhi. Rais Mtarajiwa Mwanasheria Nguli Barani Afrika na Mpigania Haki TUNDU LISSU pamoja na kipenzi cha Wana Arusha Mbunge G LEMA (Sauti ya Radi) watawahutubia maelfu ya Watanzania.
Gari la Matangazo linapita hapa linapiga kile kibao cha Chadema Chadema pipozpawaaa Burudani kweli. Watu wanamunkari kumsikia TUNDU LISU akimwaga SERA. Hakika kesho ile Kitu NYOMI usiulize Arusha kama utamaduni Chadema imo mioyoni.
Njoo usikilize SERA za UKWELI
Karibuni sanaaaa
Kama kawaida tutakuwa hewani Mubashara hapa jamvini kuanzia asubuhi TUMEJIPANGA
Mbona umepanic bwasheeeeWewe siyo msemaji wetu watanzania. Tuache tuchague kiongozi tunaemtaka