Uchaguzi 2020 Lissu Arusha Kesho: Uzinduzi CHADEMA Kanda ya Kaskazini Viwanja vya NMC Relini

Wanafivha aibu uwanjani hamna watu unataka warushe hewani uwanja mtupu?

..jambo la msingi kwa sasa hivi ni HOJA za mgombea.

..watu wanatakiwa wapate ujumbe ndipo waanze kuiunga mkono kampeni.
 
Ngoja nieke Mbamba mkao na dogdog..kesho tukutane arif
 
Mmekimbia Dar kwa nini? Siku tatu zimeisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…