Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kusoma yote huko juu, hadi kwenye mstari huu,; nami nime jiridhisha kwamba ulipo jiandaa kuandika mada hii, tayari nawe ulikuwa umejihesabu kwenye hao "mahiri" wenzako ulio wataja. Hapakuwa na sababu yoyote ya kuja hapa na kudanganya wasomaji kuhusu msimamo wa "mahiri" nyinyi.Baada ya kupitia maoni mbalimbali kumhusu yeye, nahitimisha kusema kwamba, Mh Tundu lissu, hafai kuaminiwa na wanachi katika nafasi ya Urais
Ndio ni chama cha demokrasia ndo maana lisu atapewa fomu ya uenyekitiChadema ni chama cha kidemokrasia ama vipi?
Kwa hiyo "unguli" wenu unaishia hapa!Mh Tundu lisu ni JPM aliyechangamka aishie kwenye nafasi aliyopo na akienda sana, aishie kwenye kuongoza Wizara tu
Haahaa, nafasi zote sawa ila sio ya mwenyekiti😂Nafasi ya m/kiti wa cdm ni ngumu sana.
Lissu aliyekuwa mbunge wa jimbo kwao huko Singida. Elimu yake wala haikuleta mabadiliko kwa jimbo lake tena zaidi ya kipindi kimmoja,aka Mr deep promise without a success.Trump unamchukulia poa? Ndiyo hivyo wamarekani wanamwelewa sasa.
Haya mmeyajua baada ya kusema anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti au?
Sasa katika yote hayo uliyo orodhesha hapo, kuna lipi la maana sana ambalo lina mlazimu Tundu Lissu ajitokeze kulijibu?Kuna shuuma nzito dhidi ya Lisu zimeandikwa na Yericko Nyerere ambazo Lisu anapaswa kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi ama aombe radhi.
1. Kusema kuwa hajalipwa hela yake ya matibabu kumbe kalipwa.
2. Madai kuwa Abdul alienda nyumbani kwake kumhonga wakati kumbe alikuwa anamsaidia kufanikisha malipo ya matibabu yake.
3. Kupewa nafasi kubwa ktk chama lkn hazitendei haki
Lisu anapaswa kutoka hadharani na kujisafiaha ama kuomba radhi.
Watu wa namna hii viongozi wa chama kikuu cha upinzani wanaotoa tuzo kwa Mwenyekiti wa chama tawala mpinzania wao mkuu na wanayetamani kumtoa madarakani.Nafasi ambayo, inahitaji watu watulivu, waliojaa hekima na maamzi yasiyo ya kukurupuka, nafasi ambayo kwa neno moja tu la mkuu wa nchi, linaweeza kuhatarisha usalama wa nchi na wananchi
Ni kweli hana cheo chochote serikalini, anatumiwa na watu kama chambo cha kupata connection, kitu ambacho siyo rasmi ktk utendaji wa serikali.Chukulia kama hiyo namba 2. Abdul anao wadhifa gani ndani ya serikali hadi awe yeye ndiye mpigania haki za Tundu Lissu? Kuna sababu zozote za kumfuata nyumbani kwa jambo kama hilo?
Mkuu 'Sex', unajua lakini , kwamba hatufanyi mzaha hapa! Haya ni maswala mazito ya nchi yetu, au siyo? Sasa hao unao wasema wa CHADEMA wanao eleza habari za "HAPANA" wakiwa wenyewe ni wanufaika wa fadhira za Bw. Abdul; unataka Tundu Lissu aeleze mara ngapi ndipo uelewe?Hoja ni kwamba Lisu kasema Abdul alimpelekea rushwa nyumbani kwake ili ahamie ccm, lkn za ndani ya chadema zinasema HAPANA. Sasa which is which? Zikiachwa hizi habari bila kukwnushwa zitamchafua Lisu mwenyewe.