Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko

Laki Si Pesa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
5,085
Reaction score
9,022
Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
 
Sasa mmeamua kujiandikia tuuu😂😂😂
 
Nakushauri wacha kutumia kinyeo kufikiri, utakuja kunishukuru.
 
Vipi hangover imeisha? Maumivu ya kutumia mihela mingi alafu bado Lissu kawashinda yameshapoa huko Lumumba na Kizimkaz?

Hizi propaganda mfu zilishawashinda na wajumbe wa Chadema wamepiga hela zenu na wamemchagua huyo huyo Lissu mnayemuogopa na mliyekuwa hamumtaki.

Tulieni tu dawa ziwaingie vizuri. Na mwaka huu lazima muwehuke
 
Waliomchagua wanajua nyumbani kwake. Wewe unayebeba mabox Kaa kimya.
 
Wengine wameongozaje?Akina vasco dagama wameweza je wanaolazimika kwenda kwenye tiba ya ugonjwa wa kupewa na wahuni?
 
Have you studied the Law of Cause & Effect? Who caused it? then what happened to Lisu before arriving in Belgian?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…