Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Basi mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe. Mama abdul anasafiri kila siku na nchi inaendelea.na hata akiwepo hajui kinachoendelea. Sembuse mwenye akili kama lissušMimi ni mzalendo wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe. Mama abdul anasafiri kila siku na nchi inaendelea.na hata akiwepo hajui kinachoendelea. Sembuse mwenye akili kama lissušMimi ni mzalendo wa taifa
Kwa hiyo Tegeta siku hizi kunaitwa Ubelgiji?kwani uongo lisu haishi ubelgiji?
Waliomchagua ndio ambao akili hawanaWakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lisu ataiongozaje chadema wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
MuulizeKwani mbowe alikuwa anaishi ubelgiji?
Familia yake iko ubelgiji, muda mwingi anakuwa hukoKwa hiyo Tegeta siku hizi kunaitwa Ubelgiji?
Na nyie mlioburuzwa na mwanamama wa nchi jirani ya Zanzibar pale Dodoma ndiyo wapumbavu kabisa.Waliomchagua ndio ambao akili hawana
Kwann hukuleta hoja before?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lisu ataiongozaje chadema wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Na sio.muda mrefu ataenda zake ubelgijiFamilia yake iko ubelgiji, muda mwingi anakuwa huko
Familia ya lisu iko ubelgiji wewe huko ndio kwakeModerators kuruhusu threads za kizushi kama hii ni kutokulitenda haki Jukwaa hili. Lissu nyumbani kwake ni Tegeta huwa anakwenda Ubelgiji kwa medical checkup hivyo uzi huu kutoka kwa mwanaccm unalenga kumnyanyapaa Lissu kwa madhila yalisababishwa na serikali ya CCM. Hii si sawa hata kidogo hebu kuweni na ubinadamu.
na kurudi tena huku tanzania ni mpaka kipindi cha uchaguzi mkuu oktobaNa sio.muda mrefu ataenda zake ubelgiji
Mbowe alikuwa anaishi wapi mpaka kushindwa kuendesha chama?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Ndio utuambie sasa ataongozaje akiwa nje ya nchi, sijawahi kuona kiongozi anaeongoza kutokea nje ya nchiDah!!!!! Nilidhani kwa umri wangu huu nshamaliza kuona upuuzi wote dunianiš nakupa namba za Paul Bia wa Cameroon,then umuulize kua anawezaje kuongoza nchi na wakati anaishi Ufaransa,au ndio TAL huyu?
Ameshindwaje wakati chama kiko imara?Mbowe alikuwa anaishi wapi mpaka kushindwa kuendesha chama?
Ngoja tuone busara ya Moderators juu ya uzushi huu.Familia ya lisu iko ubelgiji wewe huko ndio kwake
Hamna sera,Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Kwahiyo kaibiwa kura!?Ameshindwaje wakati chama kiko imara?
Pengine watachukua hatua soonModerators kuruhusu threads za kizushi kama hii ni kutokulitenda haki Jukwaa hili. Lissu nyumbani kwake ni Tegeta huwa anakwenda Ubelgiji kwa medical checkup hivyo uzi huu kutoka kwa mwanaccm unalenga kumnyanyapaa Lissu kwa madhila yalisababishwa na serikali ya CCM. Hii si sawa hata kidogo hebu kuweni na ubinadamu.