Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Labda utuambie tegeta kuna mtaa unaitwa ubelgijiYes, anaishi ubelgiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda utuambie tegeta kuna mtaa unaitwa ubelgijiYes, anaishi ubelgiji
Hata ingesema mzalendo wa ntu,kazi kwakoMimi ni mzalendo wa taifa
Yaani wewe una akili sana kuliko waliomchagua, idadi ya wapiga kura nadhani ilikuwa 996 asilimia 51 ya idadi hiyo umewazidi akiliWakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?