Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko

Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko

Kazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.

Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya nijue dhamira ya watu wa namna yenu kutaka kupata taarifa za watu.

Sijashinda. Nimekugundua tu mapema
Kumbe ulaya kuna misamiati na misemo ya uswahilini. Mkuu pongezi kwako
Sio lazima tufanane bwashee
Kazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya
 
Kumbe ulaya kuna misamiati na misemo ya uswahilini. Mkuu pongezi kwako
Sio lazima tufanane bwashee
Kazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya
Mie ni mbongo haswaa. Kuzaliwa Ocean road kukulia Temeke.

Nimezaliwa na kukulia bongo. Na hata nikifa kuzikwa ni bongo tu
 
Kazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.

Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya nijue dhamira ya watu wa namna yenu kutaka kupata taarifa za watu.

Sijashinda. Nimekugundua tu mapema
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya
Nimezaliwa na kukulia bongo. Na hata nikifa kuzikwa ni bongo tu
 
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya
Nimezaliwa na kukulia bongo. Na hata nikifa kuzikwa ni bongo tu
Yes nimekaa sana ulaya. Soon after kumaliza UDSM nilijiunga na Chuo Kikuu cha Westminster na nimekaa UK almost 10 years.
 
Umeona ulivyo poyoyo sasa?

Nimemuuliza mleta mada Tegeta ipo sehemu gani ulaya ( ubelgiji)?

Huelewi mantiki ya hili swali?
Heading ya uzi

Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko​

 
Heading ya uzi

Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko​

Sasa jibu swali Tegeta ipo wilaya ipi ya Ubelgiji? Au hujui kuwa Lissu ni mtanzania anayeishi Tegeta hapo Dar es Salaam?
 
Yes nimekaa sana ulaya. Soon after kumaliza UDSM nilijiunga na Chuo Kikuu cha Westminster na nimekaa UK almost 10 years.
Cjaomba maelezo nmecopya kauli zako 2 nkaziweka pamoja simple.
Msomi mbona hauna utulivu. Mr consultancy na mfanya biashara mbona una pupa sana hujaulizwa kitu ushakimbilia keyboard. Unakurupuka sana mr consultancy na mfanya biashara ulyeishi ulaya mwenye misemo ya kijiweni uswazi. Msomi ila hujui nyumba ya lissu iko wapi na anaishi wapi hadi dkk hii.
Mi sijaandika chochote nme quote tu maelezo yako sijauliza lolpte, unapapalika kujibu kotu gani msomi
 
Cjaomba maelezo nmecopya kauli zako 2 nkaziweka pamoja simple.
Msomi mbona hauna utulivu. Mr consultancy na mfanya biashara mbona una pupa sana hujaulizwa kitu ushakimbilia keyboard. Unakurupuka sana mr consultancy na mfanya biashara ulyeishi ulaya mwenye misemo ya kijiweni uswazi. Msomi ila hujui nyumba ya lissu iko wapi na anaishi wapi hadi dkk hii.
Mi sijaandika chochote nme quote tu maelezo yako sijauliza lolpte, unapapalika kujibu kotu gani msomi
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo
 
A- Level, Mzumbe Secondary School, Morogoro.

Bachelor of Laws, UDSM

LLM, Intellectual Property Law, University of Westminster UK

Una lingine?
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo

Inafikirisha kitu hapa. Level ya ustaarabu na uwezo wa kucontrol hisia zako (kuweza kutawala mihemuko).

Kumbe kusoma hakuleti akili, msomi hana busara wala hekima. Hajui kutumia lugha wala kuheshimu mawazo ya watu wengine katika mijadala.
M nmetembelea kenya tu sijafika ulaya. Ila kama kukaa ulaya miaka 10 kusoma chuo ulaya halafu kuwa hivi bora chief mangungo wa msovero ndio aiongoze tangania sio wasila au mr. Lord denning
 
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo

Inafikirisha kitu hapa. Level ya ustaarabu na uwezo wa kucontrol hisia zako (kuweza kutawala mihemuko).
Level ya ustaarabu wa ku control hisia wa Trump ukoje? Wa Elon Musk ukoje? Wa Putin ukoje?

Wa Magufuli ulikuwaje?
 
Level ya ustaarabu wa ku control hisia wa Trump ukoje? Wa Elon Musk ukoje? Wa Putin ukoje?

Wa Magufuli ulikuwaje?
Kwahyo unakubaliana na mimi kuwa pamoja na kusoma kwako ulkojigamba bado wewe ni mshenzi (yaani hijastaarabika)(uncivilizied) au una laziada la kuzungumzia mr. Consultancy, mfanyabiashara uliyekaa ulaya miaka 10 na kusomea ulaya
 
Kwahyo unakubaliana na mimi kuwa pamoja na kusoma kwako ulkojigamba bado wewe ni mshenzi (yaani hijastaarabika)(uncivilizied) au una laziada la kuzungumzia mr. Consultancy, mfanyabiashara uliyekaa ulaya miaka 10 na kusomea ulaya
Kipimo cha ushenzi ni kipi?
 
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo
Sio lazima tufanane bwashee
Unaniona mie fala sana

Lugha mtu anayotumia. Una lipi la kusema la ziada mkuu kabka cjaenda kunywa gahawa
Kwa hiyo lugha ndo kipimo cha ushenzi?

Ukimwambia mtoto wako kakojoe ukalale unakuwa mshenzi sio?

Nikikuita bwashee nakuwa mshenzi sio?

Basi tufunge mjadala. Naweza nikawa najadiliana na mental case kumbe.
 
Kwa hiyo lugha ndo kipimo cha ushenzi?

Ukimwambia mtoto wako kakojoe ukalale unakuwa mshenzi sio?

Nikikuita bwashee nakuwa mshenzi sio?

Basi tufunge mjadala. Naweza nikawa najadiliana na mental case kumbe.
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo
Sio lazima tufanane bwashee
Unaniona mie fala sana
Naweza nikawa najadiliana na mental case kumbe.

Mkuu kila unachokisema ni tusi tu ulaya kwakweli sio pazuri, au kusoma sana nsio ushenzi mana mimi nimeishia la 6D shule ya kijijini kwetu butimba kule

Ngoja ninywe gahawa mkuu ila uchawa unakufaa sana msomi ulyekaa ulaya miaka 10.
 
Back
Top Bottom