kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Mimi najua nyumbani kwa LISSU ni tegetakwani uongo lisu haishi ubelgiji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi najua nyumbani kwa LISSU ni tegetakwani uongo lisu haishi ubelgiji?
Kumbe ulaya kuna misamiati na misemo ya uswahilini. Mkuu pongezi kwakoKazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya nijue dhamira ya watu wa namna yenu kutaka kupata taarifa za watu.
Sijashinda. Nimekugundua tu mapema
Lord denningMimi najua nyumbani kwa LISSU ni tegeta
Mie ni mbongo haswaa. Kuzaliwa Ocean road kukulia Temeke.Kumbe ulaya kuna misamiati na misemo ya uswahilini. Mkuu pongezi kwako
Sio lazima tufanane bwashee
Kazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya
Umeona ulivyo poyoyo sasa?Lord denning
Kasema sio tegeta ni ulaya. Hapa bongo lissu anaishi hotelini inamaana.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanyaKazi ninayofanya ni consultant na mfanyabiashara.
Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya nijue dhamira ya watu wa namna yenu kutaka kupata taarifa za watu.
Sijashinda. Nimekugundua tu mapema
Yes nimekaa sana ulaya. Soon after kumaliza UDSM nilijiunga na Chuo Kikuu cha Westminster na nimekaa UK almost 10 years.Exposure yangu hasa kukaa sana ulaya imenifanya
Nimezaliwa na kukulia bongo. Na hata nikifa kuzikwa ni bongo tu
Sasa jibu swali Tegeta ipo wilaya ipi ya Ubelgiji? Au hujui kuwa Lissu ni mtanzania anayeishi Tegeta hapo Dar es Salaam?Heading ya uzi
Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko
Cjaomba maelezo nmecopya kauli zako 2 nkaziweka pamoja simple.Yes nimekaa sana ulaya. Soon after kumaliza UDSM nilijiunga na Chuo Kikuu cha Westminster na nimekaa UK almost 10 years.
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogoCjaomba maelezo nmecopya kauli zako 2 nkaziweka pamoja simple.
Msomi mbona hauna utulivu. Mr consultancy na mfanya biashara mbona una pupa sana hujaulizwa kitu ushakimbilia keyboard. Unakurupuka sana mr consultancy na mfanya biashara ulyeishi ulaya mwenye misemo ya kijiweni uswazi. Msomi ila hujui nyumba ya lissu iko wapi na anaishi wapi hadi dkk hii.
Mi sijaandika chochote nme quote tu maelezo yako sijauliza lolpte, unapapalika kujibu kotu gani msomi
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogoA- Level, Mzumbe Secondary School, Morogoro.
Bachelor of Laws, UDSM
LLM, Intellectual Property Law, University of Westminster UK
Una lingine?
Level ya ustaarabu wa ku control hisia wa Trump ukoje? Wa Elon Musk ukoje? Wa Putin ukoje?Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo
Inafikirisha kitu hapa. Level ya ustaarabu na uwezo wa kucontrol hisia zako (kuweza kutawala mihemuko).
Kwahyo unakubaliana na mimi kuwa pamoja na kusoma kwako ulkojigamba bado wewe ni mshenzi (yaani hijastaarabika)(uncivilizied) au una laziada la kuzungumzia mr. Consultancy, mfanyabiashara uliyekaa ulaya miaka 10 na kusomea ulayaLevel ya ustaarabu wa ku control hisia wa Trump ukoje? Wa Elon Musk ukoje? Wa Putin ukoje?
Wa Magufuli ulikuwaje?
Kipimo cha ushenzi ni kipi?Kwahyo unakubaliana na mimi kuwa pamoja na kusoma kwako ulkojigamba bado wewe ni mshenzi (yaani hijastaarabika)(uncivilizied) au una laziada la kuzungumzia mr. Consultancy, mfanyabiashara uliyekaa ulaya miaka 10 na kusomea ulaya
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogoKipimo cha ushenzi ni kipi?
Kwa hiyo lugha ndo kipimo cha ushenzi?Huna jipya! Kakojoe ukalale dogo
Sio lazima tufanane bwashee
Unaniona mie fala sana
Lugha mtu anayotumia. Una lipi la kusema la ziada mkuu kabka cjaenda kunywa gahawa
Huna jipya! Kakojoe ukalale dogoKwa hiyo lugha ndo kipimo cha ushenzi?
Ukimwambia mtoto wako kakojoe ukalale unakuwa mshenzi sio?
Nikikuita bwashee nakuwa mshenzi sio?
Basi tufunge mjadala. Naweza nikawa najadiliana na mental case kumbe.