Nakazia ✍️ ✍️
Na huo ni mmoja tu kati ya mifano mingi.
ANC wa South Afrika walikuwa na kambi zao Morogoro, Kongwa Dodoma, Zambia. Ni kawaida kwa wapigania Haki (uhuru).
Halafu pimbi mmoja asiye na haya
Laki Si Pesa anajifanya hajui kuwa TAL alienda Ubelgiji kama mkimbizi kukwepa kuuliwa, na ushahidi upo wazi kuwa walitaka kumuua. Na hata sasa ana mabaki ya risasi mwilini mwake.
Kuna baadhi ya machawa wa Mbogamboga ni waovu kuliko hayawani.
MOROGORO. Makao Makuu ya Kwanza ya Uhamishoni ya ANC. | JamiiForums
MOROGORO. Makao Makuu ya Kwanza ya Uhamishoni ya ANC.