Uchaguzi 2020 Lissu atikisa Singida, foleni ya kumdhamini utadhani kuna uhaba wa sukari enzi za RTC

Uchaguzi 2020 Lissu atikisa Singida, foleni ya kumdhamini utadhani kuna uhaba wa sukari enzi za RTC

Kwenye nafasi ya Urais, wapinzani wanajisumbua tu. Mimi sina chama but hapo hampati kitu
 
Mkuu tunakujua ww umeteguka marinda sijui mwenyekiti wako kakutegua!.......sasa unayanyoshaje marinda yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lazima pichu uvae kichwani mwaka huu, subiri oktoba ifike ujionee!
Umekazana tu kuita watu mbwa humu unafikri hiyo ndio miakkati ya kuitoa ccm? Nyumbu we

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom