FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
Kipindi cha Lowasa picha zilikuwa Nyingi za Kuonyesha Jamaa atashinda. Ila Wahalaaaa hakuna Kitu
Haya Mambo ya Picha picha Hayaleti matumaini kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha Lowasa picha zilikuwa Nyingi za Kuonyesha Jamaa atashinda. Ila Wahalaaaa hakuna Kitu
Haka kajamaa si ndio kale kalileta katuni ya basi alilopewa Lisu huko ughaibuni? Na mpka leo halijafika bamdarini mwaka wa 2 huuHii picha niliwahi kuiona 2015!
Naona chadema mmekubaki kwamba corona imeishaNdio mara yako nyingine kuiona sasa, ulitaka uione mara moja(chache) tu?
hiyo picha mbona ya 2015?
Acha kupanic kijinga na kuita wenzio mbwa, pumbavhuNyie mbwa si ndo mlisema chadema ni chama Cha mitandaoni mbona mnaogopa uchaguzi kenge nyie
uongo utakusaidia nini ? foleni ya wadhamini tu mnataka kujinyonga ! mbona Magufuli alidhaminiwa Chato sisi hatukuwa na noma bhana !hiyo picha mbona ya 2015?
We ng'ombe mbona unakuja na shari hivoAcha kupanic kijinga na kuita wenzio mbwa, pumbavhu
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Si bora mimi ng'ombe kuliko wewe nyumbu!We ng'ombe mbona unakuja na shari hivo
ingeshangaza kama asingetingisha huko kwao!
Nimesema bas LA nyumban kwenu sijasema kwenuMimi kwetu sio Ikungi, hapo ni Ikungi.
Nenda kamsaidie mwenyekiti wako kunyoosha guu aliloteguka baada ya kuanguka kwa ulevi!Sawa, kwanza kachukue buku saba yako pale lumumba kwa wajinga wenzio
Alafu kalambe makalio upewa cheo kuna watu wametumbuliwa leo.....
Mkuu tunakujua ww umeteguka marinda sijui mwenyekiti wako kakutegua!.......sasa unayanyoshaje marinda yakoNenda kamsaidie mwenyekiti wako kunyoosha guu aliloteguka baada ya kuanguka kwa ulevi!
Alafu mwambie aache ulevi uchaguzi umekaribia.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Dhahiri !TUNDU LISSU the next president mtetezi wa kweli wa watz.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lazima pichu uvae kichwani mwaka huu, subiri oktoba ifike ujionee!Mkuu tunakujua ww umeteguka marinda sijui mwenyekiti wako kakutegua!.......sasa unayanyoshaje marinda yako
Unamdanganya nani wewe Lumumba puppet.Kwenye nafasi ya Urais, wapinzani wanajisumbua tu. Mimi sina chama but hapo hampati kitu