Usifurahishe umma.Angalia vizuri.Mimi nilikuwa kwenye hii foleniHii picha niliwahi kuiona 2015!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifurahishe umma.Angalia vizuri.Mimi nilikuwa kwenye hii foleniHii picha niliwahi kuiona 2015!
Ni kwao hapo sio jambo la ajabu,mwambie aende kigoma au kwenu kyela kama atapata mtuHapa ni Ikungi , Singida Mashariki .
October unaijua au unaropoka tu.....shida yako hujielewi unamihemko ya kijinga.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lazima pichu uvae kichwani mwaka huu, subiri oktoba ifike ujionee!
Umekazana tu kuita watu mbwa humu unafikri hiyo ndio miakkati ya kuitoa ccm? Nyumbu we
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Unamdanganya nani wewe Lumumba puppet.
Kama huna c hama kiherehere cha nini??
Kalale huko!!
TUNDU LISSU the next president mtetezi wa kweli wa watz.....
Nakwambia hivi, oktoba hii lazima uanze kulala na viatu.October unaijua au unaropoka tu.....shida yako hujielewi unamihemko ya kijinga.....
Alafu unamjua mwenye mbwa au unang'aka tu....[emoji848][emoji848]
Lofa kwelikweli weweHii picha niliwahi kuiona 2015!
Hawezi mkuu......anayeweza kujiteua na kuzui wengine kwa nguvu ya dola ni jiwe tu.....😀😀Mbowe ataacha kujiteua ampishe Lissu?
Ikiwa hivyo itakuwa powa sana...
Lissu is better than Membe na Mbowe na Msigwa na Nyalandu
Waovu wamejawa hofuMgombea wa Online (Zoom)
Mbeya na Songwe ni Chadema ndugu. Kwenye hii mikoa ni ngumu kuishinda Chadema kuliko hata Moshi na ArushaNi kwao hapo sio jambo la ajabu,mwambie aende kigoma au kwenu kyela kama atapata mtu
Umekariri maishaMbeya na Songwe ni Chadema ndugu. Kwenye hii mikoa ni ngumu kuishinda Chadema kuliko hata Moshi na Arusha
Kyela , Kigoma kuna nyomi inamsubiri .Ni kwao hapo sio jambo la ajabu,mwambie aende kigoma au kwenu kyela kama atapata mtu
Basi nenda kanye maana mavi yameanza kukuwasha
Picha ya 2013