ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
We shall overcomeKitakuwa ni kifungo cha kisiasa! Kumbuka siasa za ndani za vyama zimeisha, sasa mnataka kumzuia mgombea ambaye siyo wa ccm? Kama mlivyomfanyia Membe kinyume na katiba ya chama, sasa na katiba ya nchi mnataka kuendelea kuisigina kikatili kabisa!
Utaokoteza viroja mpaka lini?Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Aise itabidi hizi habari Tundu naye azipate, maana alipokuwa anarejea ile kipindi na kuishia Nairobi alielezea hofu yake ya kurudi bila serikali kumhakikishia usalama. Arudi tu apambanie nchi yake, afe kishujaa.Usalama wa Tundu Lissu umehakikishwa na Mungu Muumba wa Mbingu na Nji! Yeye aliyemlinda asiuawe na Risasi zaidi ya 30 ndiye atakayemlinda anaporojea.
Hawa jamaa wanaojifanya HAWAJULIKANI ilhali Watz na Dunia inawafahamu wasije wakarudia Hilo kosa Tena....!!!! This time around watauona muziki wa Watz wapenda AMANI na DEMORASIA ya nji hii!
aisee jamaa akitua Tz atakuwa kwenye maximum security
Drone hurushwa kwa kibali kama ndege za abiria. Na anayecontrol anga la Afrika Mashariki ni nani vile?????Marekani na Waisrael wana mifumo ya Drone ambayo inaweza ku-trace na kufuatilia nyendo za Lissu from day one atakapotua njini Tanzania. Lakini pia Lissu lazima atakuwa na Ile CHIP yenye Radio waves ili kuweza kupiga picha, kunukuu sauti na kutuma kwenye Kituo maalum!! Kwa yeyote atakaye jaribu kumdhulu TAL hakika atanaswa Kama Panzi! Rejea mauaji ya Jenerali Khalifa wa Iran.
Hivi hakuna maraisi wa marekani waliowahishwa ahera wakiwa madarakani tena mbele ya hadhara za watu na dunia? Achana na watu na roho mbaya zao wakiamua jambo lao.Marekani na Waisrael wana mifumo ya Drone ambayo inaweza ku-trace na kufuatilia nyendo za Lissu from day one atakapotua njini Tanzania. Lakini pia Lissu lazima atakuwa na Ile CHIP yenye Radio waves ili kuweza kupiga picha, kunukuu sauti na kutuma kwenye Kituo maalum!! Kwa yeyote atakaye jaribu kumdhulu TAL hakika atanaswa Kama Panzi! Rejea mauaji ya Jenerali Khalifa wa Iran.
Kwa Lipi alilowaahidi hao mabeberu.........jamaa hawalambagi mkono tupu lazima kuwe na kitu umewaahidi ndo watakupiganiaHata wao wanajua kuwa siku mh Lissu akiingia hapa nchini vyombo vyote vya kiulinzi vya kimataifa macho yao ni kwa Lissu.
Usiogope njama na vitisho vya Mafarisayo. Vyote vitapita na wao watakuwepo kutuona tunashinda.Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Wakati wa kuogopa vitisho umepita. Hakuna tena cha kupoteza isipokuwa ukandamizaji wao.Hapa sio N Korea kwa Kim Jong Un au China kwa Sh Jimping ni Tanzania yetu sote sio kwa mkoloni mweusi CCM peke yake!!
Lissu rudi ugombee urais kwa uhuru, acheni vitisho na figisu, kapona kufa acha arudi sasa!!
Wakati wa kuogopa vitisho umepita. Hakuna tena cha kupoteza isipokuwa ukandamizaji wao.Hapa sio N Korea kwa Kim Jong Un au China kwa Sh Jimping ni Tanzania yetu sote sio kwa mkoloni mweusi CCM peke yake!!
Lissu rudi ugombee urais kwa uhuru, acheni vitisho na figisu, kapona kufa acha arudi sasa!!
Drone hurushwa kwa kibali kama ndege za abiria. Na anayecontrol anga la Afrika Mashariki ni nani vile?????
Kwani nchi pesa za ujenzi zinatoka wapi? Hizo bank za world bank ni mabeberu! Inaelekea watu wengi hata hawajui mabeberu ni nani?
Huyu jamaa bado limbukeni sana.
Kim hurusha ndani ya himaya yake. Pia Kim bado yuko kwenye vita ya Korea na Korea kusini/Marekani.Hivi uliwahi kuona wapi ndege za kivita au makombora ya kivita yakahitaji kibali? Tuambie makombora ya Bwana mdogo Kim Un anaporusha makombora yake umbali wa zaidi ya km 2500 Nani humpa kibali? Vita ni Vita Mura!
Wewe subiri muziki wake tu!
Unanitafuta?Mzee wa nyengi upo
Naona mpaka simu iliisha chaji.alikuwa na pilika nyingi sana
Pumbavu zakoUna ushaidi wa hiki ulichokiandika
Hakyanani nikikukamata nitakutairi bila ngazi. Bavicha usiwe na adamu kwa wakubwa zakoPumbavu zako