harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Magu hajawahi kushinda na ndio mana anapambana kufakupona asije haibika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha. Mmawia hamtaki tu kukubali ukweli kuwa upinzani wa nchi hii hauna mipango wala maono.Tulia dawa iwaingie vyema kusudi mtende haki kwa wanao wakosoa
Aliruka dhamana?Daaah! jamaa amechoka kukaa Ulaya, Sasa anataka akapumzike Segerea. Nafurahi kuona Lissu ni mzima lakini naumia nikikumbuka kuwa anakuja Sello.
Kutegemea kuvunja sheria ili mzungu akutetee ni ufala uliokubuhuSatellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
Hofu ya nn subiriaHuyu hatii maguu kabisa.. anazingua tu.
Atapigiwa kura hata akiwa ndaniAliruka dhamana?
Sheria za kuisujudia Sanamu na kugoma kupigwa chapaKutegemea kuvunja sheria ili mzungu akutetee ni ufala uliokubuhu
Sio jibu la swali nililouliza.Atapigiwa kura hata akiwa ndani
Jamaa mtani wako bro?Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Aliyempa Lisu ulemavu alaaniwe , yeye na kizazi chake chote.
Labda nyalanduJiwe atapasuka jamani!
Hakuna kinachowashinda hawa majambazi waliotaka kumtoa roho.Hili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Kugoma kuisujudia SanamuKwani anakosa gani
Kuna watu hawalali wakisikia kamanda anarejea Tz lkn habari ndio hiyo
Aje atuondolee ukomunist ili tuwe na maendeleoSio jibu la swali nililouliza.
Mkuu jiwe ni MHALIFU, unapinga kitu gani? Haiwezekani watu watumie silaha za kivita MCHANA KWEUPE kushambulia Tundu lissu, na hadi leo hii hakuna hata mmoja aliyekamatwa.mhalifu hahitaji brain ni kukamata tu
Ubongo wako umejaa manailoni.Aje atuondolee ukomunist ili tuwe na maendeleo
Hili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite