Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Bro ya nini kuandikia mate wino ungalipo? Huyo akirudi ni NDANI tu. Mbwa koko kubweka asili yake.

Hilo mbona sio tatizo, hata mkiona haitoshi kumuweka ndani mwenyewe, muwekeni na mkewe. Lakini huyo tutampigia kura hata akiwa jela.
 
Hili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Jiwe atafanya nakuhakikishia! Labda USA walete karibu ile meli ya kivita Saratoga! au USS Theodore Roosevelt (CVN-71 karibu na bahari ya Hindi 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mkewe hana shida. Ila yeye LAZIMA ashughulikiwe kisheria kwanza. Jinai haiishi kwasababu za kipumbavu kama zake!

Hakuna jipya kwenye nchi za madictator, hayo ni maisha ya kawaida kabisa kwa wakosoaji wa madictator. Kama ni magumu mbona hiyo kupigwa risasi ni zaidi ya kukaa jela? Magufuli hawezi siasa za ushindani, na hatakaa aziweze, namna pekee ni kutumia madaraka yake kupambana na yoyote asiyemuweza kisiasa.
 
Jiwe atafanya nakuhakikishia! Labda USA walete karibu ile meli ya kivita Saratoga! au USS Theodore Roosevelt (CVN-71 karibu na bahari ya Hindi 🤣 🤣 🤣 🤣


Mbona hata huko US wanamsubiri Snowden kama anavyosubiriwa lisu huku!
 
Kwani sheria inasemaje ukikiuka masharti ya dhamana?
Kitakuwa ni kifungo cha kisiasa! Kumbuka siasa za ndani za vyama zimeisha, sasa mnataka kumzuia mgombea ambaye siyo wa ccm? Kama mlivyomfanyia Membe kinyume na katiba ya chama, sasa na katiba ya nchi mnataka kuendelea kuisigina kikatili kabisa!
 
Hili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Tatizo letu kumbukumbu ndogo na hii Mitandao ya kijamii hatui - explore kma inavyohitajika.

Bwana Kashog Sagar lake lilizima kama moto ulioingia kwenye himaya ya maji ili Hali lilikua hoti kama eksozi ya Subaru na lilienea kwa haraka mithili ya Moto wa nyika.

Watu wakaangalia watolewa kafara wakatolewa leo hii mwana Mfalme msafi Kama theluji na katulia kama maji mtungini.

Mkuu msondo waliimba "usimcheee chatuuuu ooh chatuuuu utaukosa ushindi"
 
Back
Top Bottom