007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 483
Hiyo brain yenyewe wanayo sasa??Huu ndio muda wa Jeshi la Police kutumia Brain haswa mistakes ndogo zinaweza Haribu kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo brain yenyewe wanayo sasa??Huu ndio muda wa Jeshi la Police kutumia Brain haswa mistakes ndogo zinaweza Haribu kila kitu
Kebby's hotelTundu anatakiwa akiwa amechacha na sio akiwa tajiri kama JPM na Hoteli yake pale Kijitonyama!
Yeye na dereva wake walifanya nini ili kuwasaidia polisi hao watuhumiwa wapatikane. Polisi siyo malaika wanategemea ushahidi kufanya kazi zao. Mbona Faru John alijulikana fastaa. Kwasbabu wahusika walitoa ushirikiano.Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Halafu mnaomba muombewe you killersLisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Kutaka kumuua haikuwatosha? Bado mnataka damu yake?Mpango uliopo jikoni ndio huo kumkomesha kwanza
Ukimwambia mtu upo jf anakuwa anakuona nawe ni mmoja wa magreat thinkers.Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Vipi faru john mwenyewe, hakujojiwa?Yeye na dereva wake walifanya nini ili kuwasaidia polisi hao watuhumiwa wapatikane. Polisi siyo malaika wanategemea ushahidi kufanya kazi zao. Mbona Faru John alijulikana fastaa. Kwasbabu wahusika walitoa ushirikiano.
Hiyo Court order ni ya nini, au kujipiga risasi?COURT ORDER ya kumkamata Lisu ipo akitua tu .COURT ORDER KUITEKELEZA HUWA HAITEGEMEI UWEPO WA SATELLITE!!!!!
Hilo sio tatizo na sio lazima awe rais.Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Court order ya kuwakamata waliompiga risasi imetoka?Hazijafutwa zinamsubiri, ziko hadi court order za kumkamata ziko zinamsubiri atue nchini
Huwa wanabadilika kama kinyonga, mabeberu, wafadhili, washirika wa maendeleo, wahisani...Kigwangala akiwasubiri airport sio mabeberu ni watalii
Kajifunze kuandika kwanza, unakoroga tu.Nilitambua sana yamkini nini utasema,siku zote hua mnajifanya wajanja na wasomi na kumbe ni wapumbavu wakubwa,mnaowaita kama hivi kajifunze kuandika hua ndiyo wanaojua uhalisia na maisha halisi ya mTanzania nje na akili za kutengenezewa darasani na haisaidii kitu hapa Afrika, jf hii ikiendelea na tukawa hai na hzi ID zetu miaka ijayo ntakukumbusha upumbavu wako ulipokua,sasa hv hata uelezwe nini hutaelewa maana umenyeshwa sumu
kwa nini kuhangaikia kuingia gharama wakati inajulikana iko siku atajileta mwenyewe kwa nauli yakeKwani interpol haikuwepo mkuu mbona hamkuomba ubalozi wa ubelgiji akaletwa??
FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .Mkuu hilo tunalifahamu sana, ila tutampigia kura hata akiwa jela.
Hahaaa akija wasiojulikana mtawakamata?? Kwani Lissu anakosa gani?? Yeye anatuhumu, mnamkamata kwani ni mtuhumiwa??kwa nini kuhangaikia kuingia gharama wakati inajulikana iko siku atajileta mwenyewe kwa nauli yake
Mbinu mfu. Huo ni woga tu. Lissu anatisha kama ukoma.FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .
hatakuwemo kundi la wagombea akiwa jela