Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Yeye na dereva wake walifanya nini ili kuwasaidia polisi hao watuhumiwa wapatikane. Polisi siyo malaika wanategemea ushahidi kufanya kazi zao. Mbona Faru John alijulikana fastaa. Kwasbabu wahusika walitoa ushirikiano.
 
Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613
Halafu mnaomba muombewe you killers
 
Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613
Ukimwambia mtu upo jf anakuwa anakuona nawe ni mmoja wa magreat thinkers.
Atazimia akija ona hoja zako zilivyo lewa.
 
Yeye na dereva wake walifanya nini ili kuwasaidia polisi hao watuhumiwa wapatikane. Polisi siyo malaika wanategemea ushahidi kufanya kazi zao. Mbona Faru John alijulikana fastaa. Kwasbabu wahusika walitoa ushirikiano.
Vipi faru john mwenyewe, hakujojiwa?
 
Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Hilo sio tatizo na sio lazima awe rais.
Hayo mnayopanga kumfanyia nayo yatapita, ikiwa Mungu alimshindia kifo hata hayo mnayopanga tena mtetezi wake atamtetea tena
 
Aliyejiandaa kushika nchi ni Lazaro Nyalandu. Akitoswa huyoooo anarudi CCM.
Lissu asubiri kupewe uwaziri wa mambo ya nje.
Akirudi atakamatwa kwa makosa mengine ya jinai yanayomkabili.
ACT Wanatafuta ongezeko la wabunge wao tu, mpango wa kuungana na CHADEMA haupo na hautakuwepo na ningependa usiwepo, mibunge ya CHADEMA na madiwani wao wengi wamekisaliti chama. Twende na ACT kama kilivyo.
 
Nilitambua sana yamkini nini utasema,siku zote hua mnajifanya wajanja na wasomi na kumbe ni wapumbavu wakubwa,mnaowaita kama hivi kajifunze kuandika hua ndiyo wanaojua uhalisia na maisha halisi ya mTanzania nje na akili za kutengenezewa darasani na haisaidii kitu hapa Afrika, jf hii ikiendelea na tukawa hai na hzi ID zetu miaka ijayo ntakukumbusha upumbavu wako ulipokua,sasa hv hata uelezwe nini hutaelewa maana umenyeshwa sumu
Kajifunze kuandika kwanza, unakoroga tu.
 
Mkuu hilo tunalifahamu sana, ila tutampigia kura hata akiwa jela.
FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .
hatakuwemo kundi la wagombea akiwa jela
 
kwa nini kuhangaikia kuingia gharama wakati inajulikana iko siku atajileta mwenyewe kwa nauli yake
Hahaaa akija wasiojulikana mtawakamata?? Kwani Lissu anakosa gani?? Yeye anatuhumu, mnamkamata kwani ni mtuhumiwa??
 
FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .
hatakuwemo kundi la wagombea akiwa jela
Mbinu mfu. Huo ni woga tu. Lissu anatisha kama ukoma.
 
Back
Top Bottom