Pre GE2025 Lissu awasili Mlimani City akiwa ndani ya gari yake aliyopigwa nayo risasi Dodoma na watu wasiojulikana, tena ikiwa bado na matundu yake ya risasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu haya ni mapambano hii ni vita. Siraha yoyote ambayo inaweza kukusaidia katika kushinda vita hiyo kunitumia ni halali. Katika vita nchi hubomoa madaraja yao wenyewe ili kuzuia adui asisonge mbele. A nacho fanya Lisu kisiasa ni sahihi kabisa. Mimi wala si mwana CDM wala CCM.
 
Na iwe ushindi.
 
Siundi picha wale waliompiga risasi wanajisikiaje wakimuona na hilo gari leo.
Wakifanya kazi yao na walilipwa. 'Mission accomplished' walijisemea huku wakiwa na glass za champagne.
 
Kwa kweli Lissu yuko moyoni mwa Watanzania wengi. Tunamwombea aibuke kidedea katika uchaguzi wa leo.
 
mtu kapigwa risasi zote izo, afu DJ leo anakuja kutamka bila aibu kwamba, yeye ana pesa, wenzake hawana, na kwamba yeye ndio kawajenga wenzio wote, anaamini amejitoa kwa chama kuliko wengine. kaangalieni gari ya mbowe kama ilishawahi kupata hata pancha tu kwasababu ya harakati, hata kurushiwa jiwe tu. wenzie wamekuwa walemavu kwa sababu ya chama, wamepigwa risasi. yeye ananyonya asali tu, na hotuba zake za kinafikiiiiii.
 
Lissu anadeka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…