LISSU ALITAKA KUONJA SUMU HAHAAAAHatimaye Mbowe kamfikia Lissu!!
Yule mwamba ukigusa maslahi yake hakucheleweshi!
Yesu alipowaambia wale thenashara " Mmoja Wenu atanisaliti" wakaulizana Wote " je ni wewe?" Lakini Yuda Iskarioti hawakumuuliza kwa sababu alikuwa amebeba mkoba wa Hazina hivyo walimwamini SanaYes!!
Yaani ajali ya Wangwe ndiyo mauji. Yaani CCM kumejaa washirikina na watu wenye roho mbaya Sana...
Lissu alipopigwa risasi walisema alistahili, Leo wanasema Mbowe anataka kumuua.
Yaani mtu aliyeshikilia dripu Toka Dodoma mpaka Nairobi ili Lissu apone Leo ndiyo atake kumuua Lissu...!!!
Tukiuliza Magufuli alikufaje mnataharuki... Nyie watu hadi shetani huwa anahisi nyie ni washindani wake...πππNdio hayo ya Drip sasa ππ
Mruhusu amuoe mama yako ili awe baba yako we kambo upate kumtania vizuriHatimaye Mbowe kamfikia Lissu!!
Yule mwamba ukigusa maslahi yake hakucheleweshi!
Mboye alitaka kumuuayaNimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
ameonjeswa sum na mboyeNimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Isijekuwa ni laana za kutukana watu.Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Siyo tu Maguful uliza Hata Sokoine πΌTukiuliza Magufuli alikufaje mnataharuki... Nyie watu hadi shetani huwa anahisi nyie ni washindani wake...πππ
Kumtukana Shujaa Maguful πIsijekuwa ni laana za kutukana watu.
Huyo hata risasi zake zilidunda.Kumtukana Shujaa Maguful π
Labda anaenda Makkah ππHuyo hata risasi zake zilidunda.
Kuna watu hawasemwi, wacha kutukanwa.
Makkah haruhusiwi kuingia, labda ajisalimishe kwa unyenyekevu kwa Muumba wake.Labda anaenda Makkah ππ
NimekuelewaMakkah haruhusiwi kuingia, labda ajisalimishe kwa unyenyekevu kwa Muumba wake.
Huyo hata risasi zake zilidunda.
Kuna watu hawasemwi, wacha kutukanwa.
Ziara zimepangwa akiwa hajui kuwa anaumwa ama ikoje. Mwenyezi Mungu na akawe msaada wake katika matibabu yake yote.Ngoja tusikie zaidi.
But he's sick jamani, yale marisasi yote mwilini.
God do him Mercy
Akafie mbele huko, mtu gani mbishi kwenye kila jambo!!Ngoja tusikie zaidi.
But he's sick jamani, yale marisasi yote mwilini.
God do him Mercy
Unaelewesha maiti hiyo ndugu.Kapu la unga represent even school fee
Ama wewe siyo mjinga sema kuna maslahi gani wanagombania kati ya mbowe na lisu? Wewe uliyajuaje? Andika hapaHatimaye Mbowe kamfikia Lissu!!
Yule mwamba ukigusa maslahi yake hakucheleweshi!