SureYaani, inauma sana, hoja za msingi juu ya vipengele vya kuiuza Tanganyika viondolewe!!
Mh π€ ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!Hoja hupingwa kwa hoja:
View attachment 2677022
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Mh π€ ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!
Jamaa huwa anasema ukweli snHoja hupingwa kwa hoja:
View attachment 2677022
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Nami cjaelewa kwann hawaja show up ili kuleta hoja za kisheria kuhusu suala la DP world ili wakina LISSU tuwaone ni wababaifu!!!Sina hakika kama waliweza kuuitika wito wako hata tulipo wataka wakuje na kama vipi wasimwache benchi hata mzungu!
Nami cjaelewa kwann hawaja show up ili kuleta hoja za kisheria kuhusu suala la DP world ili wakina LISSU tuwaone ni wababaifu!!!
πππHoja za Dk. Slaa, LIssu, Prof. Shivji, wakili msomi Mwabukusi na wa namba hiyo siyo za kuingia kichwa kichwa. Waliko watakuwa wanachungulia na kujisemea hiiiiiiiiiii:
View attachment 2677059
Kama mapanya tu!
HIMARS kala ban baada ya jana kuzidiwa kwa hoja na kuanza kurusha lugha zisizofaa hapa jukwaani.DPW imemfanya awe kama kichaa kwa kuitetea huku akitukana matusi hovyo,pengine akirudi atakuwa kajifunza jinsi ya kupangua hoja za wadau wanaopinga mkataba.Mh [emoji848] ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!
Bila kupata usaidizi toka kwa mtu na nusu tokea jalalani hawatoboi.πππ
Uyo nae nipimbi tu kutwa kujipendeleza kwa majirani kutafuta undugu tunajua kuwa waarabu wakichukua iyo bandari hamn pakupitishua midway yenu ya kulevyaHoja hupingwa kwa hoja:
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Kumbeeee !! Duh π kweli panapofuka moshi pana moto wahenga walisemaga !! Wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja !!Uyo nae nipimbi tu kutwa kujipendeleza kwa majirani kutafuta undugu tunajua kuwa waarabu wakichukua iyo bandari hamn pakupitishua midway yenu ya kulevya
.HIMARS kala ban baada ya jana kuzidiwa kwa hoja na kuanza kurusha lugha zisizofaa hapa jukwaani.DPW imemfanya awe kama kichaa kwa kuitetea huku akitukana matusi hovyo,pengine akirudi atakuwa kajifunza jinsi ya kupangua hoja za wadau wanaopinga mkataba.