Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ukimuona Lord denning na GUSSIE kwenye uzi wowote wakiutetea upande Fulani ujue Kuna umatemate hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo nae nipimbi tu kutwa kujipendeleza kwa majirani kutafuta undugu tunajua kuwa waarabu wakichukua iyo bandari hamn pakupitishua midway yenu ya kulevya
AaahaaaaBila kupata usaidizi toka kwa mtu na nusu tokea jalalani hawatoboi.
View attachment 2677069
LIssu au hawa wengine, siyo Lema!
Duh !Ukimuona Lord denning na GUSSIE kwenye uzi wowote wakiutetea upande Fulani ujue Kuna umatemate hapo
Ivi ujiulizi kwanini leo wanageuka kumsifia magufuli wakati walikuwa wanamponda? Walijua huyu mama watakuwa wanapiga madili bila shida kumbe sio alipogusa bandari watu wote wameamka kuaza kufoka ni uongo mtupu wanatetea ugali waoKumbeeee !! Duh 🙄 kweli panapofuka moshi pana moto wahenga walisemaga !! Wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja !!
Ila watu wasijisahaulishe kale kamsemo ka kilatini ‘ locuta causa finita ‘
Ivi? Ujiulizi?!Ivi ujiulizi kwanini leo wanageuka kumsifia magufuli wakati walikuwa wanamponda? Walijua huyu mama watakuwa wanapiga madili bila shida kumbe sio alipogusa bandari watu wote wameamka kuaza kufoka ni uongo mtupu wanatetea ugali wao
Wewe ndio ujihurumie unaendekeza ujinga kumpa sifa pasipo hitajikaLissu akiwa pimbi wewe utakuwa nani ndugu? Kulikoni kutokujihurumia mwenyewe?
Ukakasi upo kwenye ndizi mimi sio ndiz mzee kuwa na adabu kidogIvi? Ujiulizi?!
Yanatia ukakasi hata kabla ya kuanza kukusoma.
Wewe ndio ujihurumie unaendekeza ujinga kumpa sifa pasipo hitajika
Ndiz, kidog?!Ukakasi upo kwenye ndizi mimi sio ndiz mzee kuwa na adabu kidog
Anajua kila kitu ila kwa makusudi anapanga kupotosha watu ,hao ndo wanasiasa.Kusema imeuzwa ni kupotosha
Sheria haziruhusu!
Kivipi? Wao hawaoni kama kuna kosa lolote, watarekebishaje sasa?I hope vipengele vitaboreshwa
Mama kasikia kilio na hisia zetu
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako!Uyo nae nipimbi tu kutwa kujipendeleza kwa majirani kutafuta undugu tunajua kuwa waarabu wakichukua iyo bandari hamn pakupitishua midway yenu ya kulevya
Sijui swa lakin ww unaejua ni zoba unafwata upepo uku hujui unacho kipambaniaBora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako!
Hata kuandika kwenyewe hujui!
Anajua kila kitu ila kwa makusudi anapanga kupotosha watu ,hao ndo wana wasiasa.
Wanaweza hata kumsingia mtu mauaji ili mradi tu kuleta wasiwasi kwa wananchi... kwa ufafanuzi wake sioni hoja ila naona anapotosha zaidi...
Hoja ni dhaifu sana na kwa mada yeyote mtu ukiamua kuandaa hoja unapata hata uweke elimu na pesa kila kona utapata hoja za kutetea.Hoja za Lissu hapa ni:
1. Rais ana mamlaka makubwa mno kwa mujibu wa Katiba.
2. Bandari zote za bara kapewa kuendesha DP World bila ukomo, lakini siyo za Zanzibar.
3. Aliyefanya #2 ni rais mzanzibari akidai kafanya kwa manufaa.
Wenye kuona hivyo dhidi yao ni kama unavyoona hapa:
View attachment 2677136
Hoja hupingwa kwa hoja.
Hoja zenu ziko wapi tuone?
John angalia mkataba. Tatizo wewe sijui elimu yako maana muda mwingine unaweza kuwa unabishana na darasa la saba failure .Kusema imeuzwa ni kupotosha
Sheria haziruhusu!
Kudefine Mauzo hakuhitaji degree Book Keeping ya form One inatosha kabisa!John angalia mkataba. Tatizo wewe sijui elimu yako maana muda mwingine unaweza kuwa unabishana na darasa la saba failure .
Angalia secretary anayoyafanya....
Hoja ni dhaifu sana na kwa mada yeyote mtu ukiamua kuandaa hoja unapata hata uweke elimu na pesa kila kona utapata hoja za kutetea.
Yupo kisiasa zaidi wewe na yeye kuna mtua anajua ukomo swiss port pale JNIA.
Unaposema ni mzanzibar mbona ameshakuwa Rais wako 😅😅huna la kufanya hata ulete ubaguzi...Kwamba huyo lissu anatawaliwa na mzanzibar na kuhus muungano yeye bado mdogo sana hajui lolote.