johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshapanic 😂😂😂Wewe mnywa gongo huelewi upo kuzibua vyoo vya CCM tu shenzii Waheed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshapanic 😂😂😂Wewe mnywa gongo huelewi upo kuzibua vyoo vya CCM tu shenzii Waheed.
Mkuu tunayasikia lkn mimi hili la kuuzwa silioni huenda kwasababu, kama inavyodaiwa, mimi ni Mzenji na Mzenji kwa mtazamo wa wanajamii forum wengi ni Mwarabu, kwaivyo nikisema nitaambiwa nawatetea Waarabu!
Rejea kauli ya Mbowe na hii ya Lissu then kumbuka Uzanzibar si sawa Lupaso Uzanzibari ni utaifaKwamba rais ni mzanzibari hiyo siyo hoja ya Lissu labda kama unataka kutulazimisha tu ndugu.
Hoja ni kuwa bandari zimeuzwa na aliyeziuza anautambulisho wake kutokea Zanzibar kama Butiama, Lupaso, Msoga au Chato.
Hoja haikimbiwi. Hoja hujibiwa kwa hoja. Watu Gani nyie mliopanga kukimbia hoja Ili kulazimisha humo zenu?
Dah .!!Hoja hupingwa kwa hoja:
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Mbona unawadhihaki watu. Yaani Faiza, Gussie, HIMARS, ChoiceVariable, Covax, wawe manguli wa sheria!! Maana ya nguli itakuwa imebadilika.Mh [emoji848] ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!
Ni kazi sana kutetea uovu kutumia sheria. Ndiyo maana wanabakia kupiga kelele tu, mara oh DP ni kampuni kubwa, mara oh DP wamewekeza nchi nyingi. So what?Nami cjaelewa kwann hawaja show up ili kuleta hoja za kisheria kuhusu suala la DP world ili wakina LISSU tuwaone ni wababaifu!!!
Rejea kauli ya Mbowe na hii ya Lissu then kumbuka Uzanzibar si sawa Lupaso Uzanzibari ni utaifa
Hivi tunaposema Yuda alimwuza Kristo Masiha, sheria zilikuwa zinaruhusu? Hawa wameuza nchi kupitia biashara haramu ya rushwa.Kusema imeuzwa ni kupotosha
Sheria haziruhusu!
HIMARS hana uwezo wa kupangua hoja.HIMARS kala ban baada ya jana kuzidiwa kwa hoja na kuanza kurusha lugha zisizofaa hapa jukwaani.DPW imemfanya awe kama kichaa kwa kuitetea huku akitukana matusi hovyo,pengine akirudi atakuwa kajifunza jinsi ya kupangua hoja za wadau wanaopinga mkataba.
Jibu kuntuHivi tunaposema Yuda alimwuza Kristo Masiha, sheria zilikuwa zinaruhusu? Hawa wameuza nchi kupitia biashara haramu ya rushwa.
Hakika ✔️Ni kazi sana kutetea uovu kutumia sheria. Ndiyo maana wanabakia kupiga kelele tu, mara oh DP ni kampuni kubwa, mara oh DP wamewekeza nchi nyingi. So what?
Ngoja Lisu aendelee kutoa elimu ili maandamano yakianza, watu wajue kwa nini wanaandamana.
Mkuu nadhan unawaelewa humu wao ndio husimama na kuwatetea DP world kila cku!! Maybe wao ndio manguli wa mikataba.Mbona unawadhihaki watu. Yaani Faiza, Gussie, HIMARS, ChoiceVariable, Covax, wawe manguli wa sheria!! Maana ya nguli itakuwa imebadilika.
1-Hata Mwalimu Nyerere alishawahi kusema kwamba madaraka aliyopewa raisi na katiba yetu hii ni makubwa kama akipatikana raisi kichaa ataharibu nchi, lakini na yeye ndiyo alikuwa nayo.Mbona nyepesi ni hoja zako? Za Lissu ziko wazi:
1. Je, rais Hana mamlaka makubwa mno kwa mujibu wa Katiba?
2. Je, bandari zote za bara kakabidhiwa DP World Kwa mujibu wa makubaliano yaliyopo?
3. Je, kuna bandari yoyote ya Zanzibar kwenye makubaliano haya?
4. Je, rais ni mzaliwa wa Zanzibar?
5. Je, maslahi tokea DP World hayawahusu wazanzibari?
Ungejikita kwenye hoja zake hoja kwa hoja hudhani kuwa ungejitendea haki zaidi?
Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Uzanzibari uliopo hapa ni sawa na Lupaso, Msoga, Butiama au Chato.
Ndiyo maana walipovunjiwa nyumba kibamba lakini si Mwanza Kwa sababu alizozitoa bwana yule wengi tuli hamaki!
Jibuni hoja siyo k
Sio kwamba bandari za Zanzibar hazina faida ila Rais Samia anaongoza nchi ipi?1-Hata Mwalimu Nyerere alishawahi kusema kwamba madaraka aliyopewa raisi na katiba yetu hii ni makubwa kama akipatikana raisi kichaa ataharibu nchi, lakini na yeye ndiyo alikuwa nayo.
2-Huwenda kukawa na mapendekezo hayo ya DP World kupewa kuendesha bandari zote za bara kwani ndizo zenye manufaa na faida kwa muwekezaji, bandari za Zanzibar hazina faida kwa uwekezaji kwani ukiwa na bandari za bara unaweza ukahudumia mpaka nchi za jirani, ndiyo maana hata njia za train zimetengenezwa zitakazo unganisha Tanzania bara na nchi za jirani.
3-Kwenye uwekezaji wa faida bandari za Zanzibar hazina faida sana ukilinganisha na za Bara hasa Dar.
4-Raisi ni mtanzania aliyezaliwa Zanzibar.
5-Maslahi kutoka DPW yatahusu Tanzania kwa ujumla ikiwa TZ Bara ni mnufaika mkubwa.
Hata hao viongozi wa Chadema walipozaliwa hamna bandari kila mtu arudi mkoa wake.. Bandari ni za watu wa pwani si mnaleta ubaguzi.Hatujaacha kutambua au kurejea alikozaliwa rais na hakuna jipya hapo. Hoja ya Lissu so alikozaliwa rais.
Bitiama, Lupaso, Msoga, Chato nk kupo kwenye rekodi tunakutumbua na haijawahi kuwa taabu.
Zingatia teuzi zilipojikita Kanda ya ziwa tulisema. Hapa tunasema aliyeuza bandari za bara ni mzanzibari labda kama wewe unadhani ni mtu wa bara?
Wakija wataanza kuhamisha magori. Kushambulia pesonality badala ya hoja. hao wanakuja subiriHoja za Dk. Slaa, LIssu, Prof. Shivji, wakili msomi Mwabukusi na wa namna hiyo siyo za kuingia kichwa kichwa. Waliko watakuwa wanachungulia na kujisemea hiiiiiiiiiii:
View attachment 2677059
Kama mapanya tu!
Bahari ni jambo la muungano kasome katiba, hapo kuna kosa la kuvunja katiba live.Sio kwamba bandari za Zanzibar hazina faida ila Rais Samia anaongoza nchi ipi?
Hawezi kuingilia mamlaka ya Zanzibar na hilo Lissu anajua kama mwanasheria. Sasa anapotokea mtu akasema maneno lazima upime kama ni mzima kiakili.
Rais anatumikia Jamhuri ya Muungano haijalishi anatoka upande gani.
Point. ! Na hiyo ndio inayopelekea pia baadhi ya watu kufanya conclution ya kwamba hii yote ni Udini Udini tu !!Hapa ndio najiuliza hoja ya Uzanzibar inakuja leo kwa kuwa tu rais ni mzanzibar au?
Maana kuna mambo mengi Serikali inaingia mikataba na hayasemwi kama huyu ni mzazibar au mtanganyika
Yule spika alishasema nchi itapigwa mnada ss yanatimia inauma sana ccm janga la kitaifa tupambane kuokoa Bandar zetuHoja hupingwa kwa hoja:
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?