- Thread starter
- #41
Kudefine Mauzo hakuhitaji degree Book Keeping ya form One inatosha kabisa!
Ndiyo maana kina Msukuma wanadai uongozi uwe Kwa zamu ati kuwa sasa ni zamu ya darasa la saba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudefine Mauzo hakuhitaji degree Book Keeping ya form One inatosha kabisa!
Wewe unaona tofauti gani Kati ya Prof Lipumba na Freeman Mbowe?Ndiyo maana kina Msukuma wanadai uongozi uwe Kwa zamu ati kuwa sasa ni zamu ya darasa la saba!
Mkuu tunayasikia lkn mimi hili la kuuzwa silioni huenda kwasababu, kama inavyodaiwa, mimi ni Mzenji na Mzenji kwa mtazamo wa wanajamii forum wengi ni Mwarabu, kwaivyo nikisema nitaambiwa nawatetea Waarabu!Zawadini pande za Zenji huko haya mambo mnayasikia?
Ni nyepesi sana na za hazina mashiko yaani za kitoto kabisa.Mbona nyepesi ni hoja zako? Za Lissu ziko wazi:
1. Je, rais Hana mamlaka makubwa mno kwa mujibu wa Katiba?
2. Je, bandari zote za bara kakabidhiwa DP World Kwa mujibu wa makubaliano yaliyopo?
3. Je, kuna bandari yoyote ya Zanzibar kwenye makubaliano haya?
4. Je, rais ni mzaliwa wa Zanzibar?
5. Je, maslahi tokea DP World hayawahusu wazanzibari?
Ungejikita kwenye hoja zake hoja kwa hoja hudhani kuwa ungejitendea haki zaidi?
Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Mkuu tunayasikia lkn mimi hili la kuuzwa silioni huenda kwasababu, kama inavyodaiwa, mimi ni Mzenji na Mzenji kwa mtazamo wa wanajamii forum wengi ni Mwarabu, kwaivyo nikisema nitaambiwa nawatetea Waarabu!
Ni nyepesi sana na za hazina mashiko yaani za kitoto kabisa.
Unauliza Rais ni mzaliwa wa Zanzibar.
Nauliza swali je kutokana na katiba Rais samia ni Rais wa wazanzibar au Tanganyika?
Wewe unaona tofauti gani Kati ya Prof Lipumba na Freeman Mbowe?
Yai la Sekondari ni la 7C tu!Zingatia hakuna darasa hapo. Darasa la saba ndugu? Labda tena ni la kata hapo tegemea:
Izi, ujiulizi, kidog, ndiz nk
Cc: Mwachiluwi
Hatari sana. !Ivi ujiulizi kwanini leo wanageuka kumsifia magufuli wakati walikuwa wanamponda? Walijua huyu mama watakuwa wanapiga madili bila shida kumbe sio alipogusa bandari watu wote wameamka kuaza kufoka ni uongo mtupu wanatetea ugali wao
Yai la A level haliwezi kuwa na O level ndiyo maana kuna "leaving certificate."Yai la Sekondari ni la 7C tu!
Mkuu hoja ya Lissu ni alikozaliwa Rais maana anaweka msisitizo za Zanzibar hazina manufaa nashindwa kufahamu huyu mwanasheria wa aina gani anashindwa kutofautisha Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Muungano.Hatujaacha kutambua au kurejea alikozaliwa rais na hakuna jipya hapo. Hoja ya Lissu so alikozaliwa rais.
Bitiama, Lupaso, Msoga, Chato nk kupo kwenye rekodi tunakutumbua na haijawahi kuwa taabu.
Zingatia teuzi zilipojikita Kanda ya ziwa tulisema. Hapa tunasema aliyeuza bandari za bara ni mzanzibari labda kama wewe unadhani ni mtu wa bara?
Mkuu hoja ya Lissu ni alikozaliwa Rais maana anaweka msisitizo za Zanzibar hazina manufaa nashindwa kufahamu huyu mwanasheria wa aina gani anashindwa kutofautisha Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Muungano.
Bora hata angetoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa Tanganyika kuwa na serikali yake ili hata siku za mbele Rais akiwa Mzanzibar haya yasiwepo.
😂😂😂Yai la A level haliwezi kuwa na O level ndiyo maana kuna "leaving certificate."
Form IIC haiwezi kuwa na level ya kibajaji.
UzushiHoja hupingwa kwa hoja:
Bandari zote bara zimeuzwa!
Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Uzushi
Wewe mnywa gongo huelewi upo kuzibua vyoo vya CCM tu shenzii Waheed.Kusema imeuzwa ni kupotosha
Sheria haziruhusu!