LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

Nasemaje iuzwe wabongo ujuaji kibao hamna kitu
 
Kuna pesa wanatoa wazungu baada ya Samia kukubaliana na masharti ya kuulegezea upinzani.

Mojawapo ya masharti ni kukubaliana na demokrasia. Mtihani mgumu kwani kwa kukubaliana na demokrasia unakuwa umejengeka urahisi wa kuingiliwa kwenye siasa za ndani.

Ni muda wa mfumo kuwa na watu makini sana, adui anakuwa karibu zaidi kulinganisha na kipindi kile cha JPM.
Well said mkuu.
 
Kuandika kwenyewe mbona taabu mno ndugu?

Ili?!
kua?!
ebu?!

Dalili za mhitimu toka shule mpya kabisa ya kata.

Huna tofauti wewe na yule sheikh ubwabwa. Mkiwa washikiwa akili msidhani na wengine nao pia.

Pambaneni na hali zenu. Wengine siyo size zenu!
Nilijua labda utakuja na hoja za kujibu ila mwisho wa siku umeishia kulalama basi. (size) aaah
CHADEMA wao ni wapinzani wetu katika kila kitu. Jifunzeni sasa kwamba ata siku moja amna wananchi wenye kuipenda Tanzania watawai kuasikia.Propaganda za Siasa sio faida kwetu
 
Nilijua labda utakuja na hoja za kujibu ila mwisho wa siku umeishia kulalama basi. (size) aaah
CHADEMA wao ni wapinzani wetu katika kila kitu. Jifunzeni sasa kwamba ata siku moja amna wananchi wenye kuipenda Tanzania watawai kuasikia.Propaganda za Siasa sio faida kwetu

Wahitimu shule za kata zingatieni elimu haina mwisho.

Haya maneno yenu "ata" yanakera sana.

Hamuoni hivyo ndugu?
 
Back
Top Bottom