LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

Kusema twasema leo kwa kuwa katokea rais mzanzibari, itakuwa kutokututendea haki mkuu.

Kwani kwa kauli yako hii mbona Mzee Mwinyi aliwahi kuwa rais na hatukupiga kelele hizi?
Mzee Mwinyi sio Mzanzibar na hilo kathibitisha mwenyewe kwenye kitabu chake.

Nyinyi mmeanza ubaguzi kwenye hili,
Kwanini msijadili mkataba badala ya Uzanzibar wa mtu.
Kumbukeni sisi wazanzibar ni wabaguzi kuliko nyinyi tukisema turejeshe majibu sio vizuri kabisa.
 
Mzee Mwinyi sio Mzanzibar na hilo kathibitisha mwenyewe kwenye kitabu chake.

Nyinyi mmeanza ubaguzi kwenye hili,
Kwanini msijadili mkataba badala ya Uzanzibar wa mtu.
Kumbukeni sisi wazanzibar ni wabaguzi kuliko nyinyi tukisema turejeshe majibu sio vizuri kabisa.

Wapi unajadiliwa uzanzibari ndugu?

Kwani bandari zenu zipo kwenye mkataba huu?

Kumbe Mzee Mwinyi siyo mzanzibari ila Samia? Sasa mwanawe naye je? Si Walisema mwana wa nyoka naye ni nyoka?

Zawadini nisaidie kujiridhisha huyu ni nduguyo au ni wale chawa wetu sampuli za Ustaadh Mwaipopo?
 
Huyu huyu FaizaFoxy wa dini ile ya mabikra 72 peponi anaowaona waarabu kama miungu ndio aje adadavue ?! Waislamu ni bure kabisa Dini ya kuhubiriwa ukaue watu eti ukifa utaenda kupewa mabikra 72 na kuna mijinga ngozi nyeusi ti Boko haram yanakwenda kuua ndugu zao eti watapewa mabikra 72
Aisee 😳😳😳
 
hili jambo litamsumbua sana maza hadi uchaguzi upite, sijui atatumia mbinu gani, ila litamsumbua. alitakiwa aje afanya baada ya kushinda uchaguzi 2025, kulianzisha sasaivi litamletea madhara makubwa sana kisiasa.
 
Mzee Mwinyi sio Mzanzibar na hilo kathibitisha mwenyewe kwenye kitabu chake.

Nyinyi mmeanza ubaguzi kwenye hili,
Kwanini msijadili mkataba badala ya Uzanzibar wa mtu.
Kumbukeni sisi wazanzibar ni wabaguzi kuliko nyinyi tukisema turejeshe majibu sio vizuri kabisa.
Sio ubaguzi tu hata ukosefu wa akili mmetuzidi
 
Katika hili sisi tulifanya ila ni nyinyi Watanganyika mulioshikilia mfumo uliopo kwa nia ya 'kuidhibiti' Zanzbar.

Rejea maneno ya Lukuvi kule kanisani, ambaye ni Mtanganyika halafu rejea msimamo wa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kwenye bunge la katiba mwaka 2014 ambaye ni Mzanzibari.

..Lukuvi anawakilisha maoni na misimamo ya wahafidhina wa Ccm.

..Hata Samia, Mbarawa, Mwinyi, wote wako ktk kundi la wahafidhina wa Ccm wanaofaidika na mfumo kandamizi uliopo.

..Nakuomba urejee kauli ya Samia wakati wajumbe wa ukawa wamesusia kikao cha bunge maalum la katiba.

..Mimi nadhani ktk hili Wazanzibari muungane na Watanganyika wanaodai kudhulumiwa na muungano.

..Malalamiko ya Watanganyika sio dhidi ya Wazanzibari walio wengi, bali ni dhidi ya genge la wahafidhina wa Ccm wasiotaka haki sawa ktk muungano.
 
Nyinyi mnaakili gani kazi kuendekeza udini tu.
Mikataba mingapi ya maadini mibovu ila kapewa mzungu mapadri wenu kimya.

..sio kweli kwamba mikataba mibovu ya madini iliungwa mkono na taasisi za kidini za Wakristo.

..kuna utafiti na uchunguzi mkubwa, na ripoti ilitolewa, kuhusu dhuluma za mikataba ya madini hapa Tanzania, ulifadhiliwa na mashirika ya kidini ya Kikristo.
 
Wapi unajadiliwa uzanzibari ndugu?

Kwani bandari zenu zipo kwenye mkataba huu?

Kumbe Mzee Mwinyi siyo mzanzibari ila Samia? Sasa mwanawe naye je? Si Walisema mwana wa nyoka naye ni nyoka?

Zawadini nisaidie kujiridhisha huyu ni nduguyo au ni wale chawa wetu sampuli za Ustaadh Mwaipopo?
Mkuu kwenye hili, mtu stahiki wa kusema ni mzee Mwinyi mwenyewe ambaye, kama ilivyosemwa, aliandika mwenyewe kwenye kitabu chake kwamba, ndhani, hakuzaliwa Zanzibar. Kama hivyo ndivyo, mimi ni nani mpaka nipingane na mzee Mwinyi ambaye 1. ni mkubwa wangu, 2. Yeye ndiye anayejijua zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.

Kama hivyo ndivyo, yeye ni Mzanzibari aliyezaliwa Tanganyika. Sasa Uzanzibari kaupataje, jibu ni hili:
Kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzibari, mtu yeyote Mtanganyika ambaye Aprili 12, 1964 alikuwepo Zanzibar huyo ni Mzanzibari.

Huenda wanaosema si Mzanzibari wanamaan
isha uzawa wake sio wa Zanzbar. Vyovyote iwavyo, kwa sasa mzee Mwnyi ni Mzanzibari kisheria.
 
..Lukuvi anawakilisha maoni na misimamo ya wahafidhina wa Ccm.

..Hata Samia, Mbarawa, Mwinyi, wote wako ktk kundi la wahafidhina wa Ccm wanaofaidika na mfumo kandamizi uliopo...
Mkuu mimi nimejibu maombi yako kwamba Wazanzibari tukuungeni mkono na si vingine.
 
Miaka ya zamani tulizoea kutaniana kwama nchi imeuzwa, kila mtu afe na chake, sikuwahi kudhani kwamba msemo huu unaweza kuja kuwa kweli, kwamba nchi inauzwa? Yaani inauzwaje?

Baada Ndugai kusema nchi itakuja kuuzwa, nako niliona ni utani, ila leo tunashtuka tumeuzwa, jamani?

Tumezoea kuibiwa sana, mfano Richmond, EPA, ESCROW, IPTL, MEREMETA, NK;
Ila hatujazoea kuuzwa sisi, msaini vipi mikataba yenye vipengele vya kugawa sovereignity na mali za Tanganyika kwa jiji la kigeni, yaani jiji na sio nchi, how?

Kwa wale wanaosema hili litapita, ni sawa, ila litapita na mtu, huu mwezi hauishi....

“SAVE THIS THREAD”
 
Mkuu kwenye hili, mtu stahiki wa kusema ni mzee Mwinyi mwenyewe ambaye, kama ilivyosemwa, aliandika mwenyewe kwenye kitabu chake kwamba, ndhani, hakuzaliwa Zanzibar...

Kwamba, "vyovyote iwavyo, kwa sasa Mzee Mwinyi ni Mzanzibari kisheria."

Ufafanuzi wako tafadhali.
 
Sasa wameamua mbele kwa mbele, na Sheria zetu nyingi zitaenda kubadilishwa bungeni ili kuwa favor DP W.
 
Hoja hupingwa kwa hoja:

Naishia kusikia tu Bandari zimeuzwa...Lakini sisikii mtu akitaja kiasi au pesa/Bei ya hizi bandari.

Lakini pia,sijasikia mwanasheria au mwanaharakati akipinga ushirikiano huu kwa misingi ya kiuchumi bali wote wamejikita kwenye hoja za kisiasa na propaganda basi.

Mwisho kabisa....Mh.Lissu na wenzake wapo upinzani na kazi yao walioichagua ni upinzani dhidi ya CCM ,kwahiyo maswala ya wao kupinga ni haki yao.Walipinga manunuzi ya ndege,ujenzi wa SGR,ujenzi wa JNHHP nk sasa upingaji wao tujue wapo kwenye falsafa na maoni ya vyama vyao basi
 
Tulidharauliwa sana kusainishwa na Dubai
 

Attachments

  • IMG-20230704-WA0515.jpg
    IMG-20230704-WA0515.jpg
    21.2 KB · Views: 3
  • IMG-20230704-WA0516.jpg
    IMG-20230704-WA0516.jpg
    35.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom