Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Siasa za majitaka?
Muulize zimeuzwa shilingi ngapi? Hela imeimgizwa wapi? Akuonyeshe na risiti
Muulize zimeuzwa shilingi ngapi? Hela imeimgizwa wapi? Akuonyeshe na risiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu msikilize mheshimiwa ally possi tujaribu kuangalia kajibu kilichoulizwa
Ukiuziwa kiwanja huwa unaondoka nacho au kinabaki palepale
Siasa za majitaka?
Muulize zimeuzwa shilingi ngapi? Hela imeimgizwa wapi? Akuonyeshe na risiti
Kwani Tanganyika munayo serikali tunachojua sisi ni Serikali ya Muungano hata Mzanzibar anaongoza sasa kama mkataba ni wa kuiuza bandari basi itauzwa bandari ya Jamhuri ya Muungano na sio Tanganyika someni hio IGA wapi imetajwa Tanganyika.
Rais Samia ana mamlaka kwenye Serikali ya Muungano na sio Serikali ya Zanzibar sasa ukitaka ajumuishe bandari ya Zanzibar atajumuishaje kitu hana mamlaka nacho yaani princple ndogo kama hii huyo mwanasheria wrnu inamshinda.
Lissu ni muongo kwa kusema bandari zetu zimeuzwa! Hapa ameongopa ndo maana yeye siyo presidential material hata kidogo.
Kwani Tanganyika munayo serikali tunachojua sisi ni Serikali ya Muungano hata Mzanzibar anaongoza sasa kama mkataba ni wa kuiuza bandari basi itauzwa bandari ya Jamhuri ya Muungano na sio Tanganyika someni hio IGA wapi imetajwa Tanganyika.
Rais Samia ana mamlaka kwenye Serikali ya Muungano na sio Serikali ya Zanzibar sasa ukitaka ajumuishe bandari ya Zanzibar atajumuishaje kitu hana mamlaka nacho yaani princple ndogo kama hii huyo mwanasheria wrnu inamshinda.
..Tanganyika tumedhulumiwa serikali yetu.
..Na lawama kwamba Wazanzibari wanauza rasilimali zetu chanzo ni Tanganyika kunyimwa serikali yake.
..Mimi nilitegemea Wazanzibari mtuunge mkono Watanganyika ktk kupinga dhuluma dhidi yetu.
..Mtuunge mkono tunapodai kuundwa kwa serikali ya Tanganyika, na muungano wenye HAKI.
Mawakili wetu wamekua kama madalali tu Siku hiziHoja za Dk. Slaa, LIssu, Prof. Shivji, wakili msomi Mwabukusi na wa namna hiyo siyo za kuingia kichwa kichwa. Waliko watakuwa wanachungulia na kujisemea hiiiiiiiiiii:
View attachment 2677059
Kama mapanya tu!
Mawasiliano wetu wamekua kama madalali tu Siku hizi
Wanaibuka na hoja na kusema nayo
Wabongo hamjifunzi
Mawakili jombaaMawasiliano ndiyo kina nani mjomba?
Mawakili jombaa
Wapo tu wanasubiri hit single na wao wanakwenda kupiga remix
Haohao kwshokutwa unasikia wanasifia waichokikandya
Ukiondoa wasemaji wa vilabu …. Wasomi wetu wengine wote tumekua kama mzee Mpili
Katika hili sisi tulifanya ila ni nyinyi Watanganyika mulioshikilia mfumo uliopo kwa nia ya 'kuidhibiti' Zanzbar...Tanganyika tumedhulumiwa serikali yetu.
..Na lawama kwamba Wazanzibari wanauza rasilimali zetu chanzo ni Tanganyika kunyimwa serikali yake.
..Mimi nilitegemea Wazanzibari mtuunge mkono Watanganyika ktk kupinga dhuluma dhidi yetu.
..Mtuunge mkono tunapodai kuundwa kwa serikali ya Tanganyika, na muungano wenye HAKI.
Mkuu brazaj; hili tumelifanya zamani ila tatizo, kwa maoni yangu, ni nyinyi. Rejea mchango wangu kwa jokakuu mchango wake namba 167 kuhusu hili.Zawadini mwaiona je hoja hii ya kuungana mikono kwenye kupigania haki, ukizingatia sote tu wahanga tu wa mazingira?
Katika hili sisi tulifanya ila ni nyinyi Watanganyika mulioshikilia mfumo uliopo kwa nia ya 'kuidhibiti' Zanzbar.
Rejea maneno ya Lukuvi kule kanisani, ambaye ni Mtanganyika halafu rejea msimamo wa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kwenye bunge la katiba mwaka 2014 ambaye ni Mzanzibari.
Jombaa mbona wewe mwenyewe umeharibuHao unaowaita mawakili kumbe nilikuwa nawasoma wapi jomba?
Kama ni kina Mwabukusi, Lissu, Slaa, Shivji, Lugemeleza au hawa waliotimba mahakamani mithili ya nyati aliyejeruhiwa kuwaweka majaribuni kina Samia, Tulia, Mbarawa au chawa wao, hao siyo size yako. Kwani wewe ni kipi ulichofanya mjomba?
Ukweli wa mambo ni kuWa, hao wanethubutu! Kumbuka yapo makundi mawili tu:
View attachment 2677944
Katika hayo wewe uko na ustaadh Mwaipopo?
Hiiiiiiiiiii bagosha!
Kwa hili hatuwezi kukuungeni mkono kwa sababu nyinyi mnajiona sio wahanga wa mfumo wa muungano hadi leo katokea Rais mzanzibar ndio mnashtuka wakati sisi tuliyaona zamani tena tukakataa mfumo huu mbele ya Nyerere.Zawadini mwaiona je hoja hii ya kuungana mikono kwenye kupigania haki, ukizingatia sote tu wahanga tu wa mazingira?
Kwa hili hatuwezi kukuungeni mkono kwa sababu nyinyi mnajiona sio wahanga wa mfumo wa muungano hadi leo katokea Rais mzanzibar ndio mnashtuka wakati sisi tuliyaona zamani tena tukakataa mfumo huu mbele ya Nyerere.
Rejea kitabu cha mzee Jumbe anathibitisha wazi wazi kwamba Zanzibar haijawahi kuridhia mkataba wa Muungano.