LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

Hoja hupingwa kwa hoja:


Bandari zote bara zimeuzwa!

Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
Gharama za uhuru wa kutoa maoni ndizo hizi. Kwamba mwanasiasa mmoja anawalisha matango pori wanajamii wengi na uongo wake unakuwa ukweli.

Ni gharama za kuongoza nchi ya kidemokrasia. Hayati JPM hakukubaliana na mambo ya kipuuzi kama haya.
 
Nikimaanisha majibu upande wa mwanasheria mkuu wa serikali ni mepesi na sijaona hoja alizotoa shivj zikijibiwa ndo mana nasema sijaelewa

Tuko pamoja ndugu. Rasilimali zetu haziwezi kuachwa kupewa majibu timilifu.
 
Kiukweli sina ushabiki katika Hili ILA tunahitaji majibu yenye ushawishi.
Nimemsikiliza prof. Issa shivj, wakili mwabukusi na Tundu lissu lakini nikamsikiliza mwanasheria wa serikali binafsi bado sijaelewa na alikuwa akijibu in a simple way.

Kama wapo wanasheria naona wangejibu hoja kwa hoja ILI kuondoa mkanganyiko kwa wananchi.

Bottom line, rasilimali ni za wananchi:

DP World: Kimeumana mahakamani, salamu kwao
 
Mkuu hoja ya Lissu ni alikozaliwa Rais maana anaweka msisitizo za Zanzibar hazina manufaa nashindwa kufahamu huyu mwanasheria wa aina gani anashindwa kutofautisha Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Muungano.

Bora hata angetoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa Tanganyika kuwa na serikali yake ili hata siku za mbele Rais akiwa Mzanzibar haya yasiwepo.
Hoja yake ni konki, swala la
bandari ni la muungano SASA kwenye huu mkataba wa milele mbona Zanzibar haipo
 
Mh 🤔 ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!
Huyu huyu FaizaFoxy wa dini ile ya mabikra 72 peponi anaowaona waarabu kama miungu ndio aje adadavue ?! Waislamu ni bure kabisa Dini ya kuhubiriwa ukaue watu eti ukifa utaenda kupewa mabikra 72 na kuna mijinga ngozi nyeusi ti Boko haram yanakwenda kuua ndugu zao eti watapewa mabikra 72
 
Sio suala hili tu mfano takwimu ni suala la Muungano lakini mbona Zanzibar kuna taasisi yake inayoshughulikia takwimu, hapa suala siyo bandari suala ni ubaguzi tu. Tangu Rais Samia aingie madarakani tunajua kuna baadhi ya watu hawakupendezwa kuongozwa na mzanzibar na hilo linajidhihirisha sasa hivi.

..chimbuko la yote haya ni muungano wa serikali mbili.

..msiwalaumu Watanganyika kunung'unika kwamba hawana serikali na Raisi wao.

..sidhani kama Wazanzibari wangefurahi kama SMZ ingeongozwa na Mtanganyika.

..Balozi Seif Iddi alipokuwa Makamu wa Rais Zanzibar wako waliokuwa wakilalamika kwamba ni Mgogo sio Mzanzibari.
 
Wengi wetu hatumwoni hivyo. Si Walisema wengi wape? Jitathmini ndugu hauko upande sahihi wa historia.
Lissu ni muongo kwa kusema bandari zetu zimeuzwa! Hapa ameongopa ndo maana yeye siyo presidential material hata kidogo.
 
HIMARS kala ban baada ya jana kuzidiwa kwa hoja na kuanza kurusha lugha zisizofaa hapa jukwaani.DPW imemfanya awe kama kichaa kwa kuitetea huku akitukana matusi hovyo,pengine akirudi atakuwa kajifunza jinsi ya kupangua hoja za wadau wanaopinga mkataba.
Kama kauziwa,ataondoka nayo?
 
..chimbuko la yote haya ni muungano wa serikali mbili.

..msiwalaumu Watanganyika kunung'unika kwamba hawana serikali na Raisi wao.

..sidhani kama Wazanzibari wangefurahi kama SMZ ingeongozwa na Mtanganyika.

..Balozi Seif Iddi alipokuwa Makamu wa Rais Zanzibar wako waliokuwa wakilalamika kwamba ni Mgogo sio Mzanzibari.
Kwani Tanganyika munayo serikali tunachojua sisi ni Serikali ya Muungano hata Mzanzibar anaongoza sasa kama mkataba ni wa kuiuza bandari basi itauzwa bandari ya Jamhuri ya Muungano na sio Tanganyika someni hio IGA wapi imetajwa Tanganyika.

Rais Samia ana mamlaka kwenye Serikali ya Muungano na sio Serikali ya Zanzibar sasa ukitaka ajumuishe bandari ya Zanzibar atajumuishaje kitu hana mamlaka nacho yaani princple ndogo kama hii huyo mwanasheria wrnu inamshinda.
 
Back
Top Bottom