LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

Hoja hupingwa kwa hoja:


Bandari zote bara zimeuzwa!

Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
anayeweza kumwamini huyo tapeli wenu wa kisiasa ni nyie mazuzu tu. Lissu maisha yake yote amekuwa mzushi, mwongo, mpotoshaji asiye na shukrani. Ndiyo maana Magu alitaka kummalizia mbali. Mtu wa hovyo kabisa ni mtu lalamishi maisha yake yote hana jambo la maana la maendeleo ameshawahi kuwafanyia binadamu mwenzake. Mi nilimdharau siku nyingi sana, sijui angekuwa mwanamke angekuwa mtu wa aina gania.
 
anayeweza kumwamini huyo tapeli wenu wa kisiasa ni nyie mazuzu tu. Lissu maisha yake yote amekuwa mzushi, mwongo, mpotoshaji asiye na shukrani. Ndiyo maana Magu alitaka kummalizia mbali. Mtu wa hovyo kabisa ni mtu lalamishi maisha yake yote hana jambo la maana la maendeleo ameshawahi kuwafanyia binadamu mwenzake. Mi nilimdharau siku nyingi sana, sijui angekuwa mwanamke angekuwa mtu wa aina gania.
Kumbe ni Magu ndiye aliyetaka kumdedisha Mh Lissu?? Nilifikiri wasiojulikana kumbe ni Magu?? Asante sana kwa taarifa hapo Magu hatunae tena.
 
Mnakosea kusema Tanganyika imeuzwa, Tanganyika haijauzwa, kimsingi Tanganyika imegaiwa bure milele kwa wajomba baada ya wao kutufadhili Royal Tour.
Acha upotoshaji
 
anayeweza kumwamini huyo tapeli wenu wa kisiasa ni nyie mazuzu tu. Lissu maisha yake yote amekuwa mzushi, mwongo, mpotoshaji asiye na shukrani. Ndiyo maana Magu alitaka kummalizia mbali. Mtu wa hovyo kabisa ni mtu lalamishi maisha yake yote hana jambo la maana la maendeleo ameshawahi kuwafanyia binadamu mwenzake. Mi nilimdharau siku nyingi sana, sijui angekuwa mwanamke angekuwa mtu wa aina gania.

Kumbe ni Magu aliyeamuru risasi Ili kummalizia mbali? Halafu ikawa je?

Pole pole mtasema yote. Tungali tunasubiri kujua waliko kina Moses Lijenje, Ben Sanane, Azory Gwanda, na uhusika wenu haswa kwenye vifo vya kina Mawazo na wale waliosokomezwa kwenye viroba?

Fz29UR6WAAAfh9G.jpeg


Fz29TuwWIAMvY1o.jpeg


Kumbe mkitegemea tuwaamini hawa wenye kauli tofauti kwa kila nguo wavaazo?
 
Kumbe ni Magu ndiye aliyetaka kumdedisha Mh Lissu?? Nilifikiri wasiojulikana kumbe ni Magu?? Asante sana kwa taarifa hapo Magu hatunae tena.

Watasema yote. Mdogo mdogo.
 
Bandiko linasema

Bandari zote bara, DP World kauziwa​


Ila mie ningesema au nasema

Bandari zote bara, DP World Kagaiwa bure​

Isitoshe
20141018_MAP004_0.jpg
 
Bandiko linasema

Bandari zote bara, DP World kauziwa​


Ila mie ningesema au nasema

Bandari zote bara, DP World Kagaiwa bure​

Isitoshe
20141018_MAP004_0.jpg

Bure hapana:

Fz45FSWWAAcW0MK.jpeg


Wao na familia zao watakuwa wamwlambishwa. Si Bure!
 
Bahari ni jambo la muungano kasome katiba, hapo kuna kosa la kuvunja katiba live.
Sio bahari ni bandari.
Lakni mbona mengine hamsemi mfano elimu ya juu ni jambo la muungano lakini serikali haijawahi kujenga hata chuo kimoja Zanzibar.

Kilimo sio jambo la muungano lakini Zanzibar haiwez kushiriki vikao na FAO na kama kuna miradi yote inafikia Tanganyika hamuikumbuki Zanzibar basi na hili libebeni tu.
 
Bure hapana:

View attachment 2677510

Wao na familia zao watakuwa wamwlambishwa. Si Bure!
Ni lugha tu. Hiyo ni sawa sawa na Bure. Watanzani tumewekeza zaid ya trillioni 3Tshs katika Bandati zetu halafu tuje tulipe huo mkopo wenyewe na usiuite Bure?

Anyways ni Lugha tu kwani naelewa fika Bandari imekuwa kama sehemu ya security ya marobota ya kuiweka CCM madarakani....na nina zingatia Kuwa mpaka DPW wanatoa ripoti yao ya mapato na matumizi hazilingani nanyale tunayoyasikia kuwa wanakuja kumwaga $500 kuanza nina Uhakika Tanzania haikuwepo katika mahesabu hayo. Mwaka jana uwekezaji wake haukuzidi $400millioni na Projections zake 2023 vivyo hivyo...ikiwa ina maana au inaweza kutafsiriwa Dar port walitupiwa na Watanzania, yaani iliwadondokea. Usisahahu kuwa Tumeweka zaidi ya $700 millioni za mikopo na misaada.


Ukija kwenye shauri la Bagonza na Rushwa mie nilishaliona hilo toka huko nyuma....


Kulambishwa ndio, lakini, sio kwa kumtetea, ila SSH alijuwa hana jinsi, ukizingatia she wanted to secure her 2025 election coffers mapema-Kumbukeni safari aliyoenda na vigogo wa CCM huko....Shaka H shaka Included. Ukiniuliza mimi nitakwambia U DC ni kumnyamazisha na yale aliyekuwa anayajua manake alivyorudi alikuwa na Jeuri na Uhakika wa Ushindi wa CCM 2025 sasa basi kwa kuwa hilo sio dhambi(kutafuta wafadhili safari hii za Mjomba) dhambi ni le ya kugawa Bandari(mali ya Umma) kama mrejesho wa Udhamini. Kwanini zisiwe mali za CCM? Anyways tumeachiwa uwanja wa kuspeculate
 
Ngoja tuwasubirie kwa maana Joni aka ustaadh kasema elimu siyo muhimu sana kuhusiana na mauzo 🤣🤣

Kiukweli sina ushabiki katika Hili ILA tunahitaji majibu yenye ushawishi.
Nimemsikiliza prof. Issa shivj, wakili mwabukusi na Tundu lissu lakini nikamsikiliza mwanasheria wa serikali binafsi bado sijaelewa na alikuwa akijibu in a simple way.

Kama wapo wanasheria naona wangejibu hoja kwa hoja ILI kuondoa mkanganyiko kwa wananchi.
 
Kiukweli sina ushabiki katika Hili ILA tunahitaji majibu yenye ushawishi.
Nimemsikiliza prof. Issa shivj, wakili mwabukusi na Tundu lissu lakini nikamsikiliza mwanasheria wa serikali binafsi bado sijaelewa na alikuwa akijibu in a simple way.

Kama wapo wanasheria naona wangejibu hoja kwa hoja ILI kuondoa mkanganyiko kwa wananchi.

Lissu hujawaelewa? Huyu naye hujamwelewa?

Dk. Slaa: Mkataba wa DP World kama Taifa - Tumeuzwa!

Zaidi sana kuna na mpiga kura huku:



Isije Kuwa hutaki tu kuelewa ndugu?

Tambua tofauti ya kutoelewa na kutotaka kuelewa.
 
Sio bahari ni bandari.
Lakni mbona mengine hamsemi mfano elimu ya juu ni jambo la muungano lakini serikali haijawahi kujenga hata chuo kimoja Zanzibar.

Kilimo sio jambo la muungano lakini Zanzibar haiwez kushiriki vikao na FAO na kama kuna miradi yote inafikia Tanganyika hamuikumbuki Zanzibar basi na hili libebeni tu.
Hapo kwenye elimu ya juu kuna Wazanzibar kibao wanasomeshwa kwa kodi toka bara, sasa mradi ambao Zanzibar haufiki ni upi? Pia kila kitu tugawane sawa wakati Bara kuna watu 20 Zanzibar mmoja. Zingatia uwiano wa eneo.
 
..bandari ni suala la muungano, lakini Znz waliamua kuwa na mamlaka yao ya bandari kinyume na katiba.

..sasa baada ya Znz kuwa na mamlaka yao ya bandari si sahihi kuteua Wazanzibari kushughulikia bandari za TANGANYIKA.

..Kuteua Wazanzibari ktk wizara zisizo za muungano ni kukiuka makubaliano ya muungano, na kuwadhulumu Watanganyika.

..Hiyo ndiyo hoja ya Lissu na wenzake kuhusu Wazanzibari ktk suala la bandari za Tanganyika.
Sio suala hili tu mfano takwimu ni suala la Muungano lakini mbona Zanzibar kuna taasisi yake inayoshughulikia takwimu, hapa suala siyo bandari suala ni ubaguzi tu. Tangu Rais Samia aingie madarakani tunajua kuna baadhi ya watu hawakupendezwa kuongozwa na mzanzibar na hilo linajidhihirisha sasa hivi.
 
Hapo kwenye elimu ya juu kuna Wazanzibar kibao wanasomeshwa kwa kodi toka bara, sasa mradi ambao Zanzibar haufiki ni upi? Pia kila kitu tugawane sawa wakati Bara kuna watu 20 Zanzibar mmoja. Zingatia uwiano wa eneo.
Haki za nchi hazipimwi kwa geography wala demography mbona Kenya na Tanzania zina ukubwa tofauti lkn zina haki sawa kwenye jumuiaya ya Afrika Mashariki
 
Back
Top Bottom