LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

Nasemaje iuzwe wabongo ujuaji kibao hamna kitu
 
Well said mkuu.
 
Nilijua labda utakuja na hoja za kujibu ila mwisho wa siku umeishia kulalama basi. (size) aaah
CHADEMA wao ni wapinzani wetu katika kila kitu. Jifunzeni sasa kwamba ata siku moja amna wananchi wenye kuipenda Tanzania watawai kuasikia.Propaganda za Siasa sio faida kwetu
 

Wahitimu shule za kata zingatieni elimu haina mwisho.

Haya maneno yenu "ata" yanakera sana.

Hamuoni hivyo ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…