Lissu, do you think you are that much of a threat to Samia regime/Government to the extent of silencing you by bribing you, tena kupitia Abdul!

Lissu, do you think you are that much of a threat to Samia regime/Government to the extent of silencing you by bribing you, tena kupitia Abdul!

Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Ila kidhungu unakipenda chanyewe hakikupendi.
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Anataka kujipa umuhimu ambao hana.

By the way Rais alishasema ustaarabu ukiwashinda Machadema sheria zile zile zilizotumika by then Bado zipo so huyo Kibaraka wa Wazungu asijipe umuhimu ambao hana wakati anaweza kushughulikiwa na hana Cha kufanya.

Juzi tuu ametoka kulalama,asimchague Rais linapokuja suala la Kampeni zao na akukbuke ni Samia huyo huyo alimtoa Ubelgiji akitaka amrudishe huko anaweza hata Sasa.
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Abdul, nenda k edit weka herufi ndogo we bata
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Mkuu tangu awamu ya 4, lissu amekua threat kwa watawala coz mwamba haogopi wala hakopeshi ktk kuusema ukweli hata kama ni mchungu bila kujali kitakachomkuta.
 
Hapana,nadhani ameamua kuongea ukweli tu mkuu ...asilaumiwe
 
Anataka kujipa umuhimu ambao hana.

By the way Rais alishasema ustaarabu ukiwashinda Machadema sheria zile zile zilizotumika by then Bado zipo so huyo Kibaraka wa Wazungu asijipe umuhimu ambao hana wakati anaweza kushughulikiwa na hana Cha kufanya.

Juzi tuu ametoka kulalama,asimchague Rais linapokuja suala la Kampeni zao na akukbuke ni Samia huyo huyo alimtoa Ubelgiji akitaka amrudishe huko anaweza hata Sasa.
Yote alofanyiwa lissu, ni yake kama mtanzania, na si hisani ya samia.
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Chambuzi la kiintelijensia toka Kizimkazi
 
uzi fikirishi....mimi ni chadema damu damu, fuatilia machapisho yagu hapa JF.....One of my favorite politicians is LISU, kabla ya kuwa kichaaa kama alivyo sasa kwa kukosa kaba ya ulimi! kugeuza mdomo wake kuwa mtara wa maji machafu
Lissu anaongea anachokifahamu. Sisi CCM tunampenda na kumtaka Mbowe.
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........

Akili yako ndogo sana kijana unajiabisha tu! Darasa la ngapi wewe?
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Acha vitisho mbuzi! Mtu mzima hatishiwi nyau!
 
Yote alofanyiwa lissu, ni yake kama mtanzania, na si hisani ya samia.
Nyie wapambe mtamdanganya huyo bimdogo wa Amsterdam Kama atawasikiliza .Kama anajua sio hisani ya Samia Kwa nini amtake Samia ku guarantee usalama wake? Hapo Samia anashindwa kumrudisha Kwa Amsterdam?
 
Back
Top Bottom