Sema munguYuko sahihi kabisa
Mbona hii taarifa wala sio ngeni ?Kama Lissu ni muongo, wamshitaki kwa uongo kesi iende mahakamani aoneshe ushahidi wake.
Watawala wasipomshitaki, wamekubali Lissu anasema kweli na wameogopa atatoa ushahidi zaidi ikiwa kesi itafuka mahakamani.
Hiyo ndogo Sana haisajili mchezaji wa maana La Liga wala Premier 😄😄Chai ya rangi isiyo na mdalasini.
Hivi unajua billioni 100 hata wizkid hana ww unasema mondi. 😅😅😅🚮
Wewe unaamini kabisa habari hizo zingefichika na kutozungumzwa na watu na Samia mwenyewe alivyotaka kumuonesha kwamba Magufuli hakiwa mtu mzuri!Kupekuliwa nyumban kwa Magufuli mi sioni ni hoja, madam hakuwa Tena rais lazima security wafanye clearance mambo ya nchi yasije fika mikono isiyo salama
Serikali ya wezi ina mkono mrefu wa kamata wezi wenzao ????Utaelewa tu. Serikali ina mkono mrefu
Samia yupo CCM na magufuli yupo CCM usijidanganye hawapo pamoja.Samia alivyotaka kumchafua Magufuli tokea mwanzo wa utawala wake ashindwe kulisema hata kama sio yeye machawa wake akina Nape washinde kumwandika hata tweeter au kumzodoa Bashiru au Pole pole kwa jinsi alivyowasumbua mpaka kumpa ubalozi!
Hela ndogo Sana hiyo kuwa nayo Rais wa NchiMbona hii taarifa wala sio ngeni ?
Nafikiri kuna waandishi Kati ya Maloto au Ansbert Ngurumo walishawahi kuripoti...hii taarifa....
Nashangaa wanaostuka kama mpya
Na nashangaa na wanachadema nao wanamuona Lissu kama kapotoshwa. ...
Ni ndogo kwenye mambo makubwa ila kwa magu obvious ni ndogo ila wasanii wa afrika the greatest wenyewe hawana hiyo hela.Hiyo ndogo Sana haisajili mchezaji wa maana La Liga wala Premier 😄😄
Usimchukulie poa Mondi Ujue anamlipa Kitenge mshahara milioni 25 kwa mwezi, Zembwela anavuta 12 mil per month 😂😂🔥Ni ndogo kwenye mambo makubwa ila kwa magu obvious ni ndogo ila wasanii wa afrika the greatest wenyewe hawana hiyo hela.
Wachezaji mpira wa euro sawa
Wezi wanajuana..Serikali ya wezi ina mkono mrefu wa kamata wezi wenzao ????
Amshtaki nani mtu anatuhumu marehemu asiyeweza kujiteteaKama Lissu ni muongo, wamshitaki kwa uongo kesi iende mahakamani aoneshe ushahidi wake.
Watawala wasipomshitaki, wamekubali Lissu anasema kweli na wameogopa atatoa ushahidi zaidi ikiwa kesi itafuka mahakamani.
Hiyo ni hesabu ya wapi mkuu42,000,000 x 2300=9,660,000,000
Unazijuwa 25milioni au unaropoka ?Usimchukulie poa Mondi Ujue anamlipa Kitenge mshahara milioni 25 kwa mwezi, Zembwela anavuta 12 mil per month [emoji23][emoji23][emoji91]
Wewe ndio huzijuwi au pengine una wivu tu!Unazijuwa 25milioni au unaropoka ?
Hakuna wa kulipwa kiasi hicho kwa DJ.
Wamshitaki familia, kwani marehemu hana familia?Amshtaki nani mtu anatuhumu marehemu asiyeweza kujitetea
Anajua anaohutubia wajinga wasiojua kuwa marehemu hawezi fungua kesi
Anawapa hotuba hewa waone kama shujaa kumsema marehemu
Marehemu aweza.mzushia chochote anajua hakuna w kumpeleka mahakama ni
Lisu ana siasa za kitapeli sana Atuhumu mtu aliye hai sasa kama mbabe aone mziki wake mahakamani. Aatuhumu maiti .Katika matapeli wa siasa Tanzania Lissu namba moja