Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Hizo hesabu za wapi. Hio hela ukiigeuza unapata around 96 billions za kibongo. Kwa nafasi na wizara alizokuwa ametumikia ni wazi kuwa lazma angestaafu na mipunga ya kutosha. Huwezi kuwa wizara ya ujenzi halafu ukose kumiliki hizo.
Dah!....96 billion cash ziwepo nyumbani? hapo ni parefu sana mkuu...
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary ...
LISSU hupewa taarifa nyingi sana za serikali na watu walioko serikalini, juzi aliongelea suala la Kinana aliposema Chadema hawana shukrani wanamtukana mama wakati kawapa ruzuku yao yote,

LISSU alisema Kinana aliwaambia Chadema pembeni kuwa ruzuku yenu Chadema ni ndogo mlistahili kubwa Ila tuliwaibia kura mkabaki na ruzuku ndogo. Hata hili la pesa yawezekana taarifa kapewa na hao walioko serikalini.
 
Labda tunadhani nyumba anayokaa raisi alie madarakani ata kama yake binafsi ni sawa na hizo zenu.

Raisi anapokuwa nyumbani kwake vyumba vyote lazima usalama wavikague kuhakikisha nyumba nzima ipo salama.

Magufuli huyu aliekuwa akienda Chato kila siku hao usalama si wangeziona hizo hela; alikuwa anazificha wapi siku akienda Chato na ulinzi wote ule.

Hadithi zingine zina make sense kwenye kichwa cha Lissu tu.
 
Nani aliingia kufanya upekuzi na kuzihesabu hizo pesa ambazo ni sawa na milioni 9000+?

Tumia vizuri akili zako!

..hizo fedha inawezekana zilikuwa nyumbani kwa Raisi, Ikulu.

..na zilionekana kwasababu kulikuwa na zoezi la kuhamisha familia ya Raisi aliyefariki, kumuingiza Raisi mpya.
 
Ukute jamaa kaambiwa amjibu yule dogo dent anaetrend huko mitandaoni anaesema viongozi wajifunze uadilifu na kuwa mzalendo kama Rais Magufuli.
 
*Jiwe alikuwa mwizi, aliiba 1.5 trilioni.
*Jiwe alikuwa muuaji.
*Jiwe alikuwa anapora mali za wafanyabiashara.
*Jiwe alikuwa mtekaji.
*Jiwe alikuwa mpiga watu risasi.
*Jiwe alikuwa fisadi, alifisadi $42 miliion.

CONCLUSION.
Jiwe alikuwa laana ya taifa
 
So the man do confusing them. Huenda ana fanya coding
 
Labda tunadhani nyumba anayokaa raisi ata kama yake binafsi ni sawa hizo zenu...

Magufuli alikuwa akiishi katika nyumba za serikali Dar es Salaam na Dodoma.

Maeneo hayo mawili ndipo kuna uwezekano fedha hizo zilipatikana na huenda zilipatikana wakati wa kuhamisha familia yake, ili kutoa nafasi kwa familia ya Raisi mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…