Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

..yale mabulungutu tuliyokuwa tunamuona akigawa wakati wa safari zake yalikwenda wapi? Alikuwa akiyahifadhi wapi wakati akiwa hai? Nani aliyachukua baada ya kifo chake?
Alikuwa akigawa dollars? Si shillings tu, tena alikuwa wala hazishiki yeye wasaidizi wake. Hela zao za matumizi kwenye ziara.
 
Fine. It’s a personal choice of mine.

Kama wewe unajali, sawa. Huo ni uamuzi wako.

Uamuzi wangu ni kutokujali.
Lakini hata kutokujali nako hujafanya sawaswa, unafanya kutokujali kunakojali.

Kwa sababu umetumia muda wako na nishati kujadili hili suala.

Wasiojali kweli ni wale wanaoangalia tu na kusema "aah, ona Matanzania haya yanabishana ujinga wao" halafu mtu anasepa bila hata kugonga like post moja 😀 😀 😀
 
Al marhum,,,,umenikonga moyo[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nilisema hili humu nikatukanwa tena zilikua zimewekwa kwenye majaba na viroba mwendazake bhana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapi hujaelewa ?
 
Nilisema hili humu nikatukanwa tena zilikua zimewekwa kwenye majaba na viroba mwendazake bhana[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣Sasa mbona aliwah tuna tisii wakaenda kumvamia kakobe kanisan navkubeba sadaka zilizokuwa kwenye mahaba?
Afu hakuwa mjanja,alipaswa kujenga money vault ndani kwake ya kuhifadhia hiyo mizigo,alifanya kienyeji Sana,labda na ushamba ulichangia🙏
 
Wewe unaamini kabisa habari hizo zingefichika na kutozungumzwa na watu na Samia mwenyewe alivyotaka kumuonesha kwamba Magufuli hakiwa mtu mzuri!
Kwanza propaganda zilianzaga Bashiru kaiba fedha mara blahblah kibao ushahidi zero!
Unajua JPM alitaka viongozi imara, kulinganisha na huyu mama ni mbingu na ardhi.

Bashiru, Polepile, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, Hussein Mwinyi
 
Kama Lissu ni muongo, wamshitaki kwa uongo kesi iende mahakamani aoneshe ushahidi wake.

Watawala wasipomshitaki, wamekubali Lissu anasema kweli na wameogopa atatoa ushahidi zaidi ikiwa kesi itafuka mahakamani.
Kabisa ndugu, anayepingana na hoja ya Lissu na atangulie Mahakamani ili akapatiwe ushahidi huko. Kwa bahati nzuri Mahakama zimewekwa mfukoni na maccm, kwahivi hakuna kitakachofichwa
 
Una umbea Sana hata mtu akipiga mihayo unaleta uzi alfu Bila kufafanua vyema ,,,huu Ni ujinga aisee umesoma wapi elimu yako ya upili
 

100B kwa Rais naona alikutwa nazo chache sana.
 
Nililisema hili humu nikatukanwa haya muko wapi mloniita Muongo??
 
Kama Lissu ni muongo, wamshitaki kwa uongo kesi iende mahakamani aoneshe ushahidi wake.

Watawala wasipomshitaki, wamekubali Lissu anasema kweli na wameogopa atatoa ushahidi zaidi ikiwa kesi itafuka mahakamani.
Aaah kijana hebu achia watu watumbue pesa bhana. Mbona una nongwa kijana!
 
Umeandika "Tundu Lissu ana historia ya kusema uongo".

Una attack character ya Tundu Lissu badala ya kuchambua kesi aliyoleta, that is the textbook definition of ad hominem attack.
Kusema ukweli kuhusu mtu ndo kum attack character yake?

Tundu Lissu alidanganya kuhusu huyo mlinzi wa Magufuli. Nimeweka ushahidi wa video na picha.

Unasema nimemu attack character badala ya kuchambua kesi aliyoileta.

Seriously?? Tundu Lissu hapa kaleta kesi gani zaidi ya hearsay?

Sikliza/ angalia tena hiyo clip. Lissu mwenyewe anasema kwamba “Naambiwa amekutwa na pesa za kigeni dola za Kimarekani milioni 42 nyumbani kwake baada ya kufa”

Hiyo ni nukuu.

Umezungumzia textbook definition, siyo? Basi hicho alichokidai Tundu Lissu hapo ni hearsay.

Hajatoa ushahidi wowote ile. Kasema kaambiwa kuwa Magufuli alikutwa na hizo hela.

Kama kuna mtu anayechafua character ya mwenzake hapa basi ni Tundu Lissu anayedai Magufuli alikuwa ameiba dola milioni 42, bila ushahidi wowote ule.

Mimi kuutaja uongo wa Lissu ambao uko documented si character assasination.

Tundu Lissu lied then and he might be lying now as well.

Yeye kaambiwa tu halafu anapanda jukwaani anasema Magufuli alikutwa na mahela nyumbani kwake.

Ushahidi wake uko wapi?
 
That’s only because I have time to waste today. Otherwise I wouldn’t even bother.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…