Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Ajabu sana, maswali yangu niliyouliza yanayohusu mada iliyoko mezani unayaita ya kitoto, huku wewe uliyeuliza maswali yaliyopo nje ya mada kuhusu kifo cha Magufuli ndio unajiona mjanja, Ok.
Mimi ujanijibu bado Kwahiyo now umemuona lissu baado ana akili kkubwa? Na hakuna mtu mwingine mwenyewe ako na akili kama kama lisu?
 
Kombora.....Tujiande kwa LINGINE...hilo litakuwa ZITO zaidi ...Dunia KIJIJI
 
Mkuu P.......... Mimi nafikiri kwa vile huyu ni mwanasheria na anafaham kuwa atatakiwa kutoa ushahidi, let us wait for police offficers kufanya kazi yao wakishirikiana na TAKUKURU kulifuatilia hili ili kujua baada ya hapo pesa zilipelekwa wapi.
Je zilikuwa za Magufuli(person) au Magufuli(president).

Kwa vile ni pesa nyingi mno kwa hali ya kawaida si vema kuacha upepo upite tu.
Tunadaiwa leo about trion 1.6 za jamaa wa Indiana na zile za 'makinikia'........nani atazilipa kama siyo pesa zetu za kodi?
BILIONI MIA MOJA.....NYUMBANI KWA MTU!!?
SI VEMA KUGOMBANA NA MAREHEM, LAKINI NI UJINGA KUHOFU KUHOJI KITU ALICHOKIFANYA MAREHEMU.
 
Mama anaupiga mwingi,kazi inaendelea tunaona kila project ikisonga mbele kwa kasi KUBWA ya KUSHANGAZA.
Project gani? Hizo project si ndo unasema za fisadi Magufuli sasa aliwezaje kuzijenga?

Miradi gan hiyo kaleta mama?
 
Si afadhali yeye zimekutikana chato,Bado ziko zinazunguka kwa watanzania.Je? Zilizotoroshwa kwa wajomba na kwingineko nchi za nje kipi Bora?
 
Nachoona Lisu ana balance mambo,kamtukana sana Samia hadi kuitwa na DCI kuhojiwa. Lisu kagoma kwenda. Unafikir ni rahisi kugomea mamlaka na kuendelea kutamba?Lisu anajua Hasimu mkubwa wa namlaka ni Sukuma gang, ukiiponda Sukuma gang na jiwe unakua kwenye position nzuri ya kutoguswa.CCM hawasumbuliwi na CHADEMA wala ACT,CCM wanasumbuliwa na Sukuma gang, kama Lisu angeendelea Kumtukana Rais na akaside na Sukuma gang mamlaka zingekua zimemshughulikia kitambo sana. Ziara ya Lisu huko Chato ni faida ya CCM na sio LISU na CHADEMA coz mnufaika mkubwa wa SIASA za kumponda jiwe na sukuma gang ni CCM.Kuna Possibility ni maelezo ya CCM wenyewe kwa Lisu ili mambo yake yawe sawa aende chato akatoe makavu kwa Sukuma gang na jiwe wao.Toka mwanzo niliwahi sema CHADEMA hawako kuiondoa CCM madarakani, wako kuhakikisha CCM inadumu milele na ndio maana hata kwa hali iliyopo CHADEMA hawataki kuungana na kundi kubwa la sukuma gang kupambana na CCM.Watapambana na CCM lakini watakuja kubalance kwa kuishambulia sukuma gang, hapa mnufaika ni CCM.Lisu anajua ili upate kura nyingi kanda ya ziwa we msifie Jiwe,kwanini hafanyi hivyo?Ni mkakati wa CCM huo,wamewapa uhuru wa kufanya SIASA kila kona lakini sio kuungana na hili kundi.Wapige kelele watakavyo lakini wakumbuke pia sukuma gang inatakiwa kushambuliwa. Chadema haina tofaut na ACT, ukiwa smart utalitambua hili.

Ukisema Lisu sio mnafki utakua umeanza kumfuatilia Lisu leo.Huyu ndiye aliyemnadi Lowasa 2015.Huyu ndiye aliyekua anamsifia sana Samia na kumponda Magufuli.Saiz tena mara amponde Samia mara amsifie Magufuli mara amponde tena.So ni mtu wa kucheza na akili za wajinga wajinga na sio watu smart.Ukiona Kipa hayupo goloni na mfungaji kakosa goli katika mazingira ya wazi kabisa lazima ujiulize kuna nini?Mazingira ya CCM kutoka madarakani yako wazi kabisa. CHADEMA +SUKUMA GANG,CCM inatoka madarakani mapema sana ila sasa unakuta Lisu na CHADEMA wako busy kuishambulia Sukuma gang. CCM wanataka hali kama hii.Kulikua na mkutano wa kupinga bandari kuuzwa,ulimuona Lisu?Kuna kesi ya mwabukusi na wenzie,unawaona akina Lisu,Mbowe,Kibatala na wengine toka Chadema wakitoa msukumo?Ukifuatilia Lisu anasimama peke yake ndani ya Chadema kupambana na CCM,Mbowe naye anasimama peke yake kupambana na CCM na wengine wadogo wadogo ndio wanatumia chama kupambana na CCM, Sio Bahati mbaya. CCM inataka mfumo kama huu,ACT wako peke yao,Lisu yupo peke yake,Mbowe peke yake,Sukuma gang peke yao.

Niishie hapa
 

Mkuu huelewi kitu. Labda ufahamu tu, kwa viongozi kama hawa ikitokea akakata moto kinachofanyika ni kuweka kila kitu salama.

Hivyo ghafla makazi yake yanapekuliwa ikiwa pamoja na private office zake.

Yote ni kuhakikisha kila kitu kinabakia salama.
 
Project gani? Hizo project si ndo unasema za fisadi Magufuli sasa aliwezaje kuzijenga?

Miradi gan hiyo kaleta mama?
Fisadi awamu ya tano aliiacha miradi mingi ikiwa chini ya 15% kufikia kumalizika, mama anamalizia 85% ya ukamilishaji miradi zaidi ya 4-5 mikubwa,(Giant projects)
Kutokana na taifa kutumia madola $ mengi katika ununuzi wa parts za ukamilishaji miradi, imesababisha imbalance katika dolars, zilizopo!,but soon it will recover!,kwani baadhi ya parts za mradi nilazima zinunuliwe nje kwa madola$ mengi.
 
Tatizo hamjui hao chadema wanatumika kuvuruga image ya magu wenu ili baadae CCM team samia wanakuja kuwaaminisha vingine wananchi wakishakuwa confused kura itakuwa ishapigwa
Kwani Magufuli anarudi kugombea?
 
Wewe unaamini ujinga wa Lisu? Kazi yake kujiropokea tu kutafuta attention! Wewe ulishajiuliza ina maana serkali ilienda kufanya upekuzi kwenye makazi yake?
Je familia ni wajinga mpaka wasiweze kuhifadhi hela hizo vizuri?
Lissu sio wa kwanza kusema iyo taarifa
 
Wee jamaa nakukubali sana upo balanced, logical and grounded in common sense. Zaidi ya hapo hizi tuhuma za Lissu ni very serious kama ni za kweli.
[emoji1317][emoji1317]
 
Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…