Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Labda ziwe planted wakati wa msiba, It doesn’t make hizo siku zingine kwanini walikuwa hawazioni...nimesema uwezekano fedha hizo zilionekana wakati wa zoezi la kuhamisha familia ya Magufuli toka ktk makazi ya Raisi.
Tena akiwa hai wanafanya thorough check nyumba nzima, akifa sidhani kama wanashida ya kuingia vyumba vyote.
Kama upo nje ya nchi ongea na viherehere wanaokwendaga kuongea na maraisi, wakwambie ata akitoka nje ya nchi chumba chake cha hotel week mbili kabla kuna watu wanaenda kukikagua na kuki-secure, anakwenda na wasaidizi wake wote mpaka mpishi wake.
Unadhani raisi aliyepo madarakani anaweza ficha kitu nyumbani kwake usalama usijue; hiyo nyumba inapigwa scan way before raisi ajafika ata kama yake binafsi.