Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,124
- 2,369
Lissu mshenzi, lkn magufuli alikuw raisi sahihi kwa hapa TZ, kuhusu wizi mimi naamini ni uongo umetungwa na maadui zake ndani ya CCM.
sababu dunia nzima iliamini magufuli ni mzalendo na kweli alikuw hivo, baada ya kifo hio tuhuma ya hela nyumbani kwake ndio pekee wangeisema na kumchafua hayati, lkn kwa yale tulishuhudia magufuli alikuw super president, binafsi mzee wangu alitumbuliwa lkn hadi leo famlia nzima bdo tunamkubali km rais mzalendo na kumtumbua mzee wangu hadi leo anakiri alifanya makosa hvo adhabu ya kutumbuliwa alifanyiwa haki na mhe. Magufuli.
NB. Ukinipa CCM na andazi, ntachagua.....
sababu dunia nzima iliamini magufuli ni mzalendo na kweli alikuw hivo, baada ya kifo hio tuhuma ya hela nyumbani kwake ndio pekee wangeisema na kumchafua hayati, lkn kwa yale tulishuhudia magufuli alikuw super president, binafsi mzee wangu alitumbuliwa lkn hadi leo famlia nzima bdo tunamkubali km rais mzalendo na kumtumbua mzee wangu hadi leo anakiri alifanya makosa hvo adhabu ya kutumbuliwa alifanyiwa haki na mhe. Magufuli.
NB. Ukinipa CCM na andazi, ntachagua.....