Leta iliyo kamili ili uni prove wrong. La sivyo unateswa na mahaba kwa Dr SlaaHiyo kauli ya Dr. Slaa hujaielewa mantiki yake, mnakata vipande vya kuwafurahisha badala ya kuchukua statement yote, ili kutafuta justification ya ujinga wenu, sioni jipya toka kwenu na hii michezo yenu.
Sijaona alipomtaja raisHii hapa Dr Slaa anaropokaView attachment 2717923
Ulishawahi kuhudhuria kiapo Cha JWTZ ukasikia mahala popote wanatamka kwamba tutamlinda Rais?Umsemea JWTZ nimekutajia kiapo cha JWTZ
Utajulia Mahakamani kuwa ni nani alitengenezaHako ulikokaweka alikatengeneza nani?
Anayetoa allegations lazima aje na ukamilifu wa ushahidi kusaport tuhuma zakeLeta iliyo kamili ili uni prove wrong. La sivyo unateswa na mahaba kwa Dr Slaa
Amesema the extreme ni kuipindua Serikali
Hayo mtayaongekea Mahakamani, sisi tumekwisha mkamataAnayetoa allegations lazima aje na ukamilifu wa ushahidi kusaport tuhuma zake
Naona mnaanza kuwabeep JWTZ waone kumbe inawezekana, endeleeni kuumba Maneno.
Uyo ni Dr mwenye phd lakini haelewi ana ubongo mzito sana.Umsemea JWTZ nimekutajia kiapo cha JWTZ
Ndo wataenda kuelezea izo maana huko lwa pilato.Hayo ni maneno ya kawaida, kuiangusha kuna maana nyingi na kupindua pia kuba maana nyingi, Nchi imejaa wahuni hii
Coment ya kikatili sana hiiWanaopinduwa tawala zao huwa wanaapa kumlinda shetani?
Wewe ni mjinga ashakum si matusi na huna unalojua na sifa ya mjinga ni kutumia nguvu na sio akili!Hayo mtayaongekea Mahakamani, sisi tumekwisha mkamata
Fala babako mzazi kummer wewe.Peleka ujinga wako, PhD gani unayo we fala?
kwani amekwambia atapindua kwa namna gani? waht if kwenye defence yake akasema alimaanisha taipindua kwa kutumia sanduku la kura, kwani hakuna utawala duniani uliwahi kuangushwa kwa sanduku la kura?Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Wewe ni mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako ni nani!! Unachojuwa ni matusi tu. Jichunge utakuja tukana mpaka sisi baba zakoWewe ni mjinga ashakum si matusi na huna unalojua na sifa ya mjinga ni kutumia nguvu na sio akili!
Akili Ina manufaa pale inaootumika vyema
Hahaa kwahiyo kuitwa mjinga ni tusi hapo ndio uelewa wako ulipofikia na ukiitwa mjinga unashangaa na kutoa matusi, siwezi kuwa na baba mjinga kama wewe itakuwa ni nahisi kwenye ukoo, labda nikusaidieWewe ni mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako ni nani!! Unachojuwa ni matusi tu. Jichunge utakuja tukana mpaka sisi baba zako
Hizi akili ndogo haziwezi kuelewa ndio maana wanangukia pia nyumbani na ugenini na kuendelea kulitia taifa hasara Kila siku!kwani amekwambia atapindua kwa namna gani? waht if kwenye defence yake akasema alimaanisha taipindua kwa kutumia sanduku la kura, kwani hakuna utawala duniani uliwahi kuangushwa kwa sanduku la kura?