tutaishia kudai tu uchaguzi huru na haki na hiyo katiba mpya utakayo kwa mdomo., nani anaweza kufanya chochote baada ya kuibiwa kura zaidi ya mdomo? Fanya yako ushughulikie familia yako hayo mambo ni kupoteza mda tu, Tz bado sanaUnasoma wapi hayo ya kusubiria Katiba ya kupewa na CCM?
1. "Tudai uchaguzi wa haki badala ya kudai kuibiwa baada ya chaguzi"
2. "Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia"
Kulikoni upeo duni namna hii wa kuchambua hata mambo madogo?