Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Subirini aanze kuwapiga spana muanze kilialia
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.

Wewe unao?

Bila kusahau mateka kufikia jumamosi mchana waachiliwe!
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto

Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza

Lisu hamna kitu

Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
 
Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto

Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza

Lisu hamna kitu

Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Mtanzania pekeee asie mwanajeshi aliepigwa risasi 32 ; 16 zikamuingia mwilini sijui kwanini alipigwa mijirisasi yote hiyo.
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Una gubu kama mwanamke wa uswahilini.
 
Hivi huwa huchoki kuwasema binadamu wenzako muda wote? Kila ukileta mada yako humu jukwaani, unamsema tu Lissu!! Amekufanya nini mpaka uwe na chuki naye kiasi hiki?
Hebu ,nimsaidie kujibu mleta maada muulize Lisu kwa nini muda wote alikuwa akimsema vibaya Mbowe na kumdhalilisha alimkomkosea nini?
 
Leo kazingua sana ,kulikuwa kunahaja Gani kutaja watu waliotoka mikoani au kawalipia nauli ,abadilike ameniudhi angekuwa mbowe angejumlisha salama yote...aige
 
Hebu ,nimsaidie kujibu mleta maada muulize Lisu kwa nini muda wote alikuwa akimsema vibaya Mbowe na kumdhalilisha alimkomkosea nini?
Sasa kusemana yeye na Mbowe kumewaathiri vipi wewe na huyo jamaa yako mwenye malaria? Au nyinyi ndiyo wale wajumbe wa kamati tendaji mliokatiwa mirija ya ulaji na huyo Tundu Lissu?

Maana haiwezekani kutwa ni kulalamika tu huku mkiwa hamna sababu za msingi!
 
Sasa kusemana yeye na Mbowe kumewaathiri vipi wewe na huyo jamaa yako mwenye malaria? Au nyinyi ndiyo wale wajumbe wa kamati tendaji mliokatiwa mirija ya ulaji na huyo Tundu Lissu?

Maana haiwezekani kutwa ni kulalamika tu huku mkiwa hamna sababu za msingi!
Ujue Mbowe ana familia,ana ndugu ukoo na marafiki walio Chadema , CCM nk na wasio na vyama wa ndani na nje ya nchi

Lisu kumdhalilisha Mbowe kaumiza watu wengi sana ndani ya Chadema na nje ya Chadema

Ndio maana wengi tumeumia sana

Lisu alichofanya kwa Mbowe sio siasa zile
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
kwasababu hana maono,

ni mtu wa mdomo na makelele tu dhidi ya dosari na kasoro za wengine, hali ya kua haoni kasoro zake na ndio maana hajui hata aanzie wapi 🐒
 
Mtanzania pekeee asie mwanajeshi aliepigwa risasi 32 ; 16 zikamuingia mwilini sijui kwanini alipigwa mijirisasi yote hiyo.
Watu wa kazi wanaita haiishi mpaka iishe. Yaani walifanya hivo interms he was to be gone. Yaani piga mpka ziishe risasi. Bahati ilikua kwake.
kuna jamaa wa urusi anaitwa mikhail devyatayev. Alichapwa risasi 22 mwilini na akaendelea kuishi. Ni game of chance ila wengi moja tu kaisha. Hivo usishindane na nguvu wanasema ya Mungu. Bro. Angekufa bwege huyo, msifurahie.
 
Back
Top Bottom