Lissu, Heche na Lema mnataka mtumie "ulipo tupo"? Mnaenda kujimaliza kisiasa

Pumba tupu
 
Maalim alikuwa na nguvu kisiasa kwa sababu nyingi, moja ya kihistoria, ubaguzi kwa wapemba, utetezi wa uzanzibari. Lissu hakuna anachosimamia, na hana community iliyoapata kufa naye kama ilivyokuwa kwa maalim
Utahangaika sana, huyo sultani kafika mwisho wake.
Huwezi kupambana na muda ukashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…